Stanley Mitchell II
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 970
- 1,323
Junior aka yake ni Juju?? Sio Jr.?? SmhJuhjuh aka yao ya Junior mkuu mambo ya kuita watoto jinsi wanavyotamka kama Nasoro (Cholo) ,Mariam (Mamu) au Khalid (Tidi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Urithi gani wakati hela imeishia kwenye matibabu
Nakukubali kinoma, ila wadau wamenichanganya, wengine wanahisi wewe ni me na wengine wanahisi wewe ni ke..Wewe unanionaje binamu
Sent from my iPhone using JamiiForums
fanya kuedit hapo kwenye BOLD....
Kama una watoto utalielewa hili,kuna aka mnatunga wazazi au ndugu tu na mara nyingi yeye mwenyewe mtoto ukimuuliza jina lako nani mfano anaweza kutamka juju badala ya Junior na familia inaendelea na hiyo aka ni vitu vya kawaida sana,mfano mzuri Ricardo "Kaka" mchezaji wa Brazil,jina la kaka ni aka ya Ricardo alipewa na familia baada ya mdogo wake kumuita kaka badala ya Ricardo!Junior aka yake ni Juju?? Sio Jr.?? Smh
Jamaa mbona kama umepanic sana?? Relax....kama una bamia tumia dawa za masai si naskia zinawasaidiaga.?
Weka picha tukuone[emoji85][emoji85]
Walitakiwa kufanya Interview na huyo mgeni kutoka ubalozi wa US kama sikosei(Naweza kusahihishwa) Then vitendea kazi vilikuwa vinazingua toka siku nyingi.. na especially Mic. Na Walikuwa wanaulalamikia Uongozi lakini wakashindwa kurekebisha. Then siku walikuwa wafanye hiyo Interview na huyo Mheshimiwa wakajipanga wafanye Mgomo wote watatu(Hando,Fina na Masoud) Asubuhi Mgeni kafika kweli wakagoma. Ila Hando akawasaliti hakugoma. Ndiyo wakafukuzwa Clouds Masoud na Fina. Ila Hando akabaki hadi alivyoondoka mwenyewe kwenda EFM.. (kwa Mujibu wa Masoud aliwahi kuhojiwa siku za nyuma sana akaeleza namna hiyo)Ilikuwa ni interview walitakiwa wafanye halafu mitambo ikakorofisha na interview ikashindikana kufanyika kwa hiyo ikaonekana hawakujiandaa vizuri kwa hiyo balozi akamaindi kweli kweli. Hii ni kwa mujibu wa Kipanya niliangalia interview youtube
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaa nimehekaa kwa nguvuuTuseme hilo body hujaliona kabisa? Ile sauti je? Huyu mtoto ana haiba zote za kiume kumpagawisha mwanamke yeyote kimtazamo
Mweusi, mrefu, kifua sasa, sauti nzito sura sio ngumu saaana wala sio nzuri
Physically ni bonge la dude
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh mwenza kuna mtu amesema ilikuwa siri? Na kitu kikipostiwa insta kila mtu ataonambona huyu kaka yao kina Juju kuna kipindi alishawekwaga insta na pages za udaku kipindi yule mama travis amepiga picha amevaa shirt la Ruge anacheza mziki. livyojifungua tena watu wakawa wanasema Travis sio wa Ruge wakaunganisha picha za watoto wa Ruge (wanaojulikana na huyo Mwachi akiwepo).
I wonder watu ndio wamemuona msibani Ruge Jr kumbe yupo kitambo na sio siri
Huyo wa msiba ndo yule wanasemaga alimtia mimba mwanafunzi wa primary enzi izo anakaa mlimani?mbona huyu kaka yao kina Juju kuna kipindi alishawekwaga insta na pages za udaku kipindi yule mama travis amepiga picha amevaa shirt la Ruge anacheza mziki. livyojifungua tena watu wakawa wanasema Travis sio wa Ruge wakaunganisha picha za watoto wa Ruge (wanaojulikana na huyo Mwachi akiwepo).
I wonder watu ndio wamemuona msibani Ruge Jr kumbe yupo kitambo na sio siri
Ilikuaje Masudi akarudi sasaWalitakiwa kufanya Interview na huyo mgeni kutoka ubalozi wa US kama sikosei(Naweza kusahihishwa) Then vitendea kazi vilikuwa vinazingua toka siku nyingi.. na especially Mic. Na Walikuwa wanaulalamikia Uongozi lakini wakashindwa kurekebisha. Then siku walikuwa wafanye hiyo Interview na huyo Mheshimiwa wakajipanga wafanye Mgomo wote watatu(Hando,Fina na Masoud) Asubuhi Mgeni kafika kweli wakagoma. Ila Hando akawasaliti hakugoma. Ndiyo wakafukuzwa Clouds Masoud na Fina. Ila Hando akabaki hadi alivyoondoka mwenyewe kwenda EFM.. (kwa Mujibu wa Masoud aliwahi kuhojiwa siku za nyuma sana akaeleza namna hiyo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Mwachi anaishi US?..kumbe ndo maana habari zake hazijulikani bongo!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hyo ni inborn trait ambayo akizaliwa tu anakua nayo, harithi kama.mikoba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio jujuman bana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni junior sema zama ndo anafupisha kwa kumwita juju(maneno yake mwenyewe Zama)