Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Mtoto wa Ruge ni shidaa...

Interview ilifanyika

Ili kilichotokea ilikuwa ni ubovu wa mic so wakawa wanatumia mic moja watangazaji wote huku moja akitumia ile nyingine

Walioorudi ofisini wakamind hawa kina masoud kwa uongozi ikatafsiriwa kama ukosefu wa nidhamu wakaambiwa waandike barua za kuomba msamaha masoud na wengine waliofukuzwa wakagoma ila wengine waliandika nafikiri babra na hao kina pj pamoja na hando
PJ na Barbra hawakuwepo wakati wa tukio hilo..... Masoud, Fina na Hando ,,,, Yes.... Masoud na Fina wakagoma.... Hando alisurrender!
 
Ahahahaah siwez binamu🤣🤣


Waambie ndugu zako watulie niwape umbea wa mujini , mambo ya jinsia waniachie mwrnyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
WAKUACHIE BANAAA!
unawaomba hela ya kunyolea zivuuuuuu!
 
Mkuu unachotetea ni nini? Soma hapo umeletewa info hyo

Sent using Jamii Forums mobile app
mnatumia akili nyingi kujadili vitu they were meant to be funny!
warumi akiwa mwanaume au mwanamke inakusaidia au kukuathiri nini?
akiwa shoga au mpunga au mchicha mwiba we inakupunguzia nini?
Yani kuna vitu waja mnahangaika navyo maskini mpk mnasahau hii ni cyber world tu!
YEYOTE ANAWEZA KUWA YEYOTE KULINGANA NA CHOCHOTE ALICHOPANGA KUTUMIA KWENYE ULIMWENGU HUU!
sidhani kama miongoni mwa matatizo yako uliyonayo mojawapo ni kujua jinsia ya warumi
TUNAMPENDA NA AINA YAKE HII YA UANDISHI!
hayo mengine hayatuhusu kabisa!
sisi tunaomfurahia na huu ubuyu, wala hatusumbui!
NYIE MNAOKATIZA HUKU KAMA MNAKIMBILIA CHOO CHENYE NGAZI, saaaasaaaa?
PSYUUUUUUUUUUUUUUU
 
Back
Top Bottom