Mtoto wa senator ahukumiwa kifungo

Mtoto wa senator ahukumiwa kifungo

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Mtoto wa senator wa north dacota, Ian crammer amehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela baada ya kukutwa na hatia ya kuendesha gari kwa spidi kubwa iliosababisha ajali na kuua mtu mmoja wa miaka 53 ambae ni sheriff
 
Tanzania ukiua kwa ajali ya barabarani kwa kosa lolote unalipa laki 7, ukigongwa na gari la ubalozi wewe utajijua.
 
Tanzania ukiua kwa ajali ya barabarani kwa kosa lolote unalipa laki 7, ukigongwa na gari la ubalozi wewe utajijua.
Baba yake angekuwa rais angepewa msamaha wa rais kama alivyofanya Biden kwa mtoto wake. Ulishawahi kusikia kisa cha bwana mdogo Ethan Couch.
 
Ingekuwa hapa Tanzania huyo jaji angefuatwa na wasiojulikana
 
Back
Top Bottom