Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakusingizie au wakuingizieDogo sio shoga sema ubrazameni ukizidi raia lazima wa kusingizie
Wamejifunza kwa wazee wao wa zamani hao[emoji16]Watoto wa siku hizi ni shida tupu.
We uliyejifanya unajua kufanya research za kutosha, huyo keshajitangaza mwenyewe kuwa punga.Fanya research ya kutosha kabla ya kuposti vitu, huyo dogo siyo shoga. Google halafu cheki hiyo picha kwenye muvi zake. Haliwi mate.
LEO UNA LIPI LA KUSEMA MKUU?Fanya research ya kutosha kabla ya kuposti vitu, huyo dogo siyo shoga. Google halafu cheki hiyo picha kwenye muvi zake. Haliwi mate.
Hatimae kawa shogaDogo sio shoga sema ubrazameni ukizidi raia lazima wa kusingizie
Mkuu njoo tena hata mm sijapata uthibitishoFanya research ya kutosha kabla ya kuposti vitu, huyo dogo siyo shoga. Google halafu cheki hiyo picha kwenye muvi zake. Haliwi mate.
Hapa ndo Umeonge ukweli maana kuna kila dalili msanii sio shoga anapewa dili ya kuact dalili au tabia za kishoga ili apige hela ndef! Anaweza kwenda mbali hadi kujitangaza kua ni shoga apige hela ili kuzidi kuupromote ushogaNi ngumu kusema ni shoga au la; ila kilichopo ni kwamba kuna kampeni kubwa ya kuingiza ushoga kwenye jamii ya watu weusi. Dogo mwenyewe mara kadhaa kafotolewa kavalia nguo za kike na baba yake ambaye amewahi kumla mate mtoto wake akamtetea kuwa ni jasiri sana ndo maana anajaribu kila kitu ikiwemo kuvaa nguo za kike.
Inaonekana hiyo ni movie lakini maudhui ni kupandikiza ushoga kwa jamii ya watu weusi.
Unakumbuka kesi ya chapel show ambapo alivunja mkataba wa dola milioni 50 sababu alikataa kuvaa nguo ya kike kwenye show yake?
Kuna kinacho endelea kwa upande wa industry ya intertaiment kote duniani na kampeni za ndoa ya jinsia moja.
search kwenye google "salimsangi" utaipata blog yenye jina hilo la salimsangi tafuta post yenye jina la "Dola ya kishetani na ushoga"
sorry mkuu wewe ni lbgt,?HADI RAHA AISEE..
NIMEFURAHI SANA DOGO ALIVYOJITANGAZA KUWA YEYE NI SHOGA.
MUNGU MBARIKI JADEN SMITH.
Huyu nye kajificha kwenye fake ID ila ni wale waleHADI RAHA AISEE..
NIMEFURAHI SANA DOGO ALIVYOJITANGAZA KUWA YEYE NI SHOGA.
MUNGU MBARIKI JADEN SMITH.
Haha...anaonekana alikua na jambo na ANTI zake KLAISTI, lina mkereketa, alafu akapita mahali akaona kuna picha .....akaunganisha matukio basi ndio tumepata mboga kama hivyo yaniAnt Christ, watoto Wa Obama na ushoga vyote umechanganya, habari mchanganyiko kweli
Hili jamaa hata mm nimelistukia nilipungaHuyu nye kajificha kwenye fake ID ila ni wale wale
AUTANGAZE USHOGA KWA FAIDA YA NANI SASA?Hapa ndo Umeonge ukweli maana kuna kila dalili msanii sio shoga anapewa dili ya kuact dalili au tabia za kishoga ili apige hela ndef! Anaweza kwenda mbali hadi kujitangaza kua ni shoga apige hela ili kuzidi kuupromote ushoga
HAPANA MKUU, MIMI SIO LBGT? (LGBT??)sorry mkuu wewe ni lbgt,?
hapana hata Mimi siyoHAPANA MKUU, MIMI SIO LBGT? (LGBT??)
WEWE JE?
HIZO "NGUVU NYINGI" ULIZIPIMA KWA KUTUMIA MASHINE GANI?hapana hata Mimi siyo
but mbona unatumia ngubu nyingi sanaa kuutetea ushoga?!