Mtoto wa Zachary Kakobe: Mfikishieni salamu baba yangu namtafuta, sijaonana naye kwa Miaka 20, nikienda Kanisani sipati nafasi ya kumuona

 
ni haki yake kumtafuta babake, hata ningekuwa mimi nipo mbali na baba yangu na ni mzima ningemtafuta. ila inavyoonekana hajawahi kukataliwa na kakobe kwamba sio mtoto wake, na kama alizaliwa miaka 43 iliyopita ni dhahiri huyo ni mtoto wa ujajani wa kakobe akiwa mwanamziki wa nyimbo za duniani, kabla hajaacha manyimbo ya mtaani na kuokoka.
 
Umri miaka 43 bado unaandika haya je ulipokuwa na miaka 10 angefariki huyo baba yako au angekuwa fukara au kiwete ungefanya haya unayodai leo. Hauko serious kbs
 
Mwaka 2001 mimi na wenzangu tulienda Turian kwa shughuli furani , tulienda katika kijiji kimoja ambapo kuna mradi u;likuwa unaitwa SURUDE - hapo tulimkuta mama mmoja masikini wa kutupwa lakini alikuwa na watoto watatu. Tulipomhoji kuhusu alipo mzazi mwenzie akasema amezaa na wanaume watatu na kuwa mtoto wa kwanza wa kiume alizaa na kakobe. tulimuuliza alipo huyu mtoto ajkasema hajui kwa kuwa Kakobe ndiye anajua mahali alipo
 
Kazaliwa 1980 - Miaka 43 Sasa
Amepotezana na Mzee wake miaka 20 iliyopita, ambavyo itakuwa ni mwaka 2000. Kakobe yuko mjini mda sana, ilikuwaje?
 
Mkuu Safi sana Kuna wtu hawajawahi kulelewa na bba wala mama hawajui hta athari au uzuri wa baba au mama Mungu awasamehe tu
 
Umri miaka 43 bado unaandika haya je ulipokuwa na miaka 10 angefariki huyo baba yako au angekuwa fukara au kiwete ungefanya haya unayodai leo. Hauko serious kbs
Mimi baba zangu ni fukara ola niliwatafuta na kuungaba nao na ndugu wengine.
Haijalishi mali bali DNA power.
 
hakuna sababu yoyote mtu anaweza kuitoa kuhalalisha kuondoa mahusiano na mwanae
Kakobe arejee kisa cha mwana mpotevu
Yaani mtu ana mabilioni ya hela anatelekeza familia yake
Aisee Ningemvamia hata kwa pistol
 
Mkuu Safi sana Kuna wtu hawajawahi kulelewa na bba wala mama hawajui hta athari au uzuri wa baba au mama Mungu awasamehe tu
Kijana wa watu amekuwa ignored tangu mdogo kwa sababu baba alimpata kabla hajaingia kwenye ndoa.

Mke wake alianza kumnyanyapaa na kumtenga hatimaye kumfukuza.
 
So Bishop alizimua in advance au ilikuwaje akattengwa na family
 
Miaka 43 unamlilia mzazi hapa Kuna jambo aliko sawa Kuna namna alikwenda kinyume Mzee akamfutilia mbali .jambo la muhimu atafute maokoto Mzee ataki shobo watoto wengi wa wachungaji wamefanya mambo ya ajabu sana nakumbuka Kuna pastor alikuwa UK miaka ya 2010 mabinti zake wakaanza kumtia aibu wanaenda club , wanaotumia drugs aliwapandisha ndege kuja Tanzania Moja Kwa Moja hadi kigoma Kwa bibi Yao walikula msoto adi wakanyooka kama rula adi wakaomba poo now ukiwaona walivyojiludi wamekuwa wamama wenye familia zao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…