Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hawana kipaji na ile drive ya wazazi wao. Simply they could hack itwatoto wa mastaa wengi wa soka, hawawezi kutoboa kwasababu tayari baba ameshawatengenezea maisha. wame_BWETEKA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana kipaji na ile drive ya wazazi wao. Simply they could hack itwatoto wa mastaa wengi wa soka, hawawezi kutoboa kwasababu tayari baba ameshawatengenezea maisha. wame_BWETEKA.
Unachanganya mafaili mkuu hao wote wamechezea Ghana.Abed Pele baba Jordan Ayew na André Ayew awa ndugu wawili mmoja kaichezea timu ya taifa ujerumani mwingine timu ya taifa ya Ghana.
Maldin baba yake alikuwa mwanasoka na Kuna mtoto wake anakipiga serie AHivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Mkuu ,kuna tofauti kati ya kucheza mpira na kucheza mpira Kwa umahiriAlfie Halaand =
Erling Halaand.
Peter Schmeichel=
Kasper Schmeichel.
Cesare Maldini =
Paolo Maldini
Johan Cruyff=
Jordi Cruyff
Paolo Maldini =
Daniel Maldini.
Harry Redknapp=
Jamie Redknapp
Orodha hii pia ni ndefu sana
Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Gerd MullerHivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Babu, baba na mjukuuUnakifahamu kizazi cha 'MULLER'.
Naona Marcus Thuram anapambana pale Inter Milan. Huyu ni mtoto wa mchezaji Lilian Thuram. Wale walioshuhudia kombe la dunia la mwaka 1998 watakuwa wanamkumbuka. Kumbe na mimi nazeeka sasa!Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Arnde akale pizza tu, soka siyo mchezo wa vijana watokao familia zenye hela. Wanaocheza soka ambao hutoka familia zenye hela wengi huenda kucheza soka ili wapate jasho la kuogea tu au baba zao hukaribu kuendeleza ndoto na mapenzi yao kupiyia watoto wao lakini watoto wakikua na kujitambua hujiamulia ya kwao.Enzo Zidane, mtoto wa Zinedine Zidane, ameamua kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 29. Enzo aliwahi kuchezea klabu ya Real Madrid na vilabu vingine, lakini sasa ameamua kustaafu soka.
Enzo Zidane alianza safari yake ya soka akiwa bado kijana mdogo, akifuata nyayo za baba yake Zinedine Zidane. Enzo alijiunga na academy ya Real Madrid, maarufu kama "La Fabrica", ambapo alifanikiwa kuonesha kipaji chake na kujitengenezea jina lake mwenyewe. Ingawa alikabiliwa na shinikizo kubwa kutokana na ukubwa wa jina la familia yake (Zidane), Enzo aliweza kuonyesha uwezo wake uwanjani.
Baada ya muda akiwa kwenye academy ya Real Madrid, Enzo alipandishwa hadi timu ya wakubwa ya Real Madrid, lakini nafasi yake ya kucheza katika kikosi hicho ilikuwa finyu kutokana na ushindani mkali ndani ya timu hiyo. Hii ilimfanya Enzo kutafuta fursa za kucheza katika vilabu vingine, aliamua kutimkia klabu Deportivo Alavés kwa mkopo. Huko, alijaribu kupata muda na nafasi ya kucheza zaidi na kuonyesha uwezo wake.
Safari ya Enzo haikuwa rahisi, kwani alihamia vilabu kadhaa tofauti katika juhudi za kupata nafasi ya kudumu ya kuonyesha kipaji chake. Alicheza kwenye vilabu vya Lausanne-Sport ya nchini Uswisi, Desportivo das Aves ya nchini Ureno, na Almería ya nchini Hispania. Ingawa alionyesha uwezo wake katika vilabu hivi, hakupata nafasi ya kudumu kama alivyotarajia.
Uamuzi wa Enzo kustaafu soka umekuja baada ya kutafakari kwa kina kuhusu mustakabali wake. Katika taarifa aliyotoa, Enzo ameeleza kuwa amefurahia safari yake ya soka na anashukuru kwa fursa alizopata, lakini kwa sasa anahisi ni wakati wa kuanza changamoto mpya katika maisha yake. Aliongeza kuwa anapanga kuendelea kuwa karibu na soka,na kujaribu fursa zingine kama ukocha.
View attachment 3106111
Labda Afrika, Ulaya na America ni wa kuhesabuHivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Haiwezekani kufanana kila kitu.Mkuu ,kuna tofauti kati ya kucheza mpira na kucheza mpira Kwa umahiri
Hao kweli ni watoto wa wachezaji nyota ila wao wenyewe sio nyota kabisa ukimuondoa Erling Haaland na Maldini's family
Wengine ni average players. Mm nimeuliza wachezaji ambao ni nyota kama ilivyokua babaake
Good observation,anyways.
Sisi tuna rithishana kwenye siasa hata kama uwezo hatuna, (viatu havitoshi)Ndio tujue kuwa ni ngumu sana kurithisha kipaji.
Wachezaji wachangani hao njaa tu ila hawana kipaji chochote... kibongobongo mwenye kipaji Samata tu aliyevuka abroadWapo wakina mao mkami na kijana wake Himid Mao
Wapo wakina Sure boy
Wapo wakina Ngasa
Wapo wakina Maftaa
Wapo wakina Manyika
Wapo wakina tegete
Huku kwetu kiasi chake tumeweza...
Huko Ulaya ni wachache sana kama wakina Jini la Man city...
Masahihisho kidogo, hawa wote wamechezea Ghana, umechanganya na wale akina Boateng .Abed Pele baba Jordan Ayew na André Ayew awa ndugu wawili mmoja kaichezea timu ya taifa ujerumani mwingine timu ya taifa ya Ghana.
Labda atafuata nyayo za babaakeNaona Marcus Thuram anapambana pale Inter Milan. Huyu ni mtoto wa mchezaji Lilian Thuram. Wale walioshuhudia kombe la dunia la mwaka 1998 watakuwa wanamkumbuka. Kumbe na mimi nazeeka sasa!
Hapana,Gerd Muller
Lilian Thuram mwanae anaitwa Marcus Thuram anakipiga pale Inter Milan Italy Tena ni first eleven Kuna kipindi anamuweka bench Lautaro Martinez nyota kutoka Argentina. Pia Kuna Timothy Weah mtoto wa nyota wa zamani wa AC Milan na Rais wa Liberia. Timothy Weah anacheza timu ya taifa ya Marekani first eleven.Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu