Mtoto wa Zidane, Enzo astaafu soka akiwa na Umri wa miaka 29

Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Maldin baba yake alikuwa mwanasoka na Kuna mtoto wake anakipiga serie A
 
Kidogo Marcus Thuram anajitahidi huyu mtoto wa Lilian Thuram. Lakini pia nimeona mtoto wa Patrick Kluivert anaitwa Justin Kluivert naye anajitahidi. Ila hawa watoto wa Beckam na Maldini naona wanaenda kama wa Zidane japo walau wa Zidane kakomaa mpaka miaka 28.

Sio wakati wote maji yatafuata mkondo
 
Alfie Halaand =
Erling Halaand.
Peter Schmeichel=
Kasper Schmeichel.
Cesare Maldini =
Paolo Maldini
Johan Cruyff=
Jordi Cruyff
Paolo Maldini =
Daniel Maldini.
Harry Redknapp=
Jamie Redknapp
Orodha hii pia ni ndefu sana
Mkuu ,kuna tofauti kati ya kucheza mpira na kucheza mpira Kwa umahiri
Hao kweli ni watoto wa wachezaji nyota ila wao wenyewe sio nyota kabisa ukimuondoa Erling Haaland na Maldini's family
Wengine ni average players. Mm nimeuliza wachezaji ambao ni nyota kama ilivyokua babaake
Good observation,anyways.
 
Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Naona Marcus Thuram anapambana pale Inter Milan. Huyu ni mtoto wa mchezaji Lilian Thuram. Wale walioshuhudia kombe la dunia la mwaka 1998 watakuwa wanamkumbuka. Kumbe na mimi nazeeka sasa!
 
Arnde akale pizza tu, soka siyo mchezo wa vijana watokao familia zenye hela. Wanaocheza soka ambao hutoka familia zenye hela wengi huenda kucheza soka ili wapate jasho la kuogea tu au baba zao hukaribu kuendeleza ndoto na mapenzi yao kupiyia watoto wao lakini watoto wakikua na kujitambua hujiamulia ya kwao.
 
Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Labda Afrika, Ulaya na America ni wa kuhesabu
 
Haiwezekani kufanana kila kitu.
Kuna baadhi ya familia baba alikuwa na uwezo mkubwa kuliko mtoto lakini kuna ambao baba alikuwa mchezaji wa kawaida kuliko mwana.
Wachache kati yao walitikisa baba na mtoto.
Tunachoangalia wote wamechezea timu za madaraja ya juu na wengine kwenye timu za mataifa yao.
 
Wapo wakina mao mkami na kijana wake Himid Mao

Wapo wakina Sure boy

Wapo wakina Ngasa

Wapo wakina Maftaa

Wapo wakina Manyika

Wapo wakina tegete

Huku kwetu kiasi chake tumeweza...


Huko Ulaya ni wachache sana kama wakina Jini la Man city...
Wachezaji wachangani hao njaa tu ila hawana kipaji chochote... kibongobongo mwenye kipaji Samata tu aliyevuka abroad
 
Abed Pele baba Jordan Ayew na André Ayew awa ndugu wawili mmoja kaichezea timu ya taifa ujerumani mwingine timu ya taifa ya Ghana.
Masahihisho kidogo, hawa wote wamechezea Ghana, umechanganya na wale akina Boateng .
 
Naona Marcus Thuram anapambana pale Inter Milan. Huyu ni mtoto wa mchezaji Lilian Thuram. Wale walioshuhudia kombe la dunia la mwaka 1998 watakuwa wanamkumbuka. Kumbe na mimi nazeeka sasa!
Labda atafuata nyayo za babaake
 
Hivi kuna mwanasoka gani mahiri ambae mtoto wake nae alikua mchezaji mahiri?
Pele
Maradona
Garincha
Frank Rjikaard
Kluivert
Beckham
Ronaldo
Figo
Zidane
Ronaldinho
List ni ndefu
Lilian Thuram mwanae anaitwa Marcus Thuram anakipiga pale Inter Milan Italy Tena ni first eleven Kuna kipindi anamuweka bench Lautaro Martinez nyota kutoka Argentina. Pia Kuna Timothy Weah mtoto wa nyota wa zamani wa AC Milan na Rais wa Liberia. Timothy Weah anacheza timu ya taifa ya Marekani first eleven.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…