Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,877
- 4,522
Nahitaji ushauri wa kitabibu, mwanangu mdogo takribani miaka 2 amemeza pilipili mbuzi nzima nzima. Hali yake sasa ni nzuri tu japo wazazi tunamashaka ikipasukia tumboni hali itakuaje na mtoto wetu atapata madhara gan. Mama yake analia tu tangu sa3 usk. Tumejaribu kumtapisha bila mafanikio. Je, kuna njia yyote ya kuitoa au ili asipate madhara tufanye nn?