Tafuta mashehe wale wanaotumia vtabu , n chapu tuu anakujbu baada ya kumuulzaZipoje mkuu!!?
Siku hizi DNA usitegemee. Siku hizi wanawake wanakuwa wa kwanza kusema kama huamini tufanye DNA. Sijui maana mara baada ya kukataa na hivyo kutowekewa zigo la kulea toto la mtu mwingine huwa wanakosa nguvu. Hivyo atapewa baba mlegevu atakayelea. Sasa uchague.Hii sitanii ni zaidi ya serious
Duh, kweli mkuuMkuu lete 300k then nitakuchukua sample wewe na mwanao then nitakupa majibu kama ni wako au sio wako lakin sitakupa evidence yoyote majibu nitakupa kwa mdomo tu kama upo tayari
Hivi nyie mnaamini DNA ya TanganyikaNawaza ilo ila laki tano inauma sana
Wewe utakuwa unaishi nje ya Tanzania..eti mamlaka hahaha nimecheka kama mazuri..Hakuna hiyo kitu Mkuu DNA Mamlaka haiwezi kufanya huo ujinga B'se kuna sehemu nyingi za kupima DNA Kwaiyo Hawezi kukupa majibu ya uongo
Huyo ni mtoto wako. Wewe mhudumie kikamilifu hata kama DNA itasema vingine. Baba ni yule aliyemlea na sio aliyetoa mbegu. Huyu mtoto atakupenda sana na anaweza akawa ndio mfariji wako wakati wa uzee wako. Kitanda hakizai haramu hata siku moja.Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
Aisee kuna watu mna mioyo ya chuma, na bado unahudumia pamoja na hayo madharau yote.Sijabaki nae japo nikitaka napewa nae jamaa anapewa just emagine
Naona unatafuta kutukanwa.Kitanda hakizai haramu.
Sasa mama unapima wa nini na mtoto katoka tumboni mwake[emoji23]DNA ni laki 3 mkuu anachukuliwa sample MTOTO, baba na mama
Mwenzako aliongelea DNA, wewe unasubiri nini?Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
Labda mama nae alibadilishiwa kimakosa hospital baada ya kujifungua ,mistake zipo pia, kwa hiyo ni muhimu Mama apime pia ili kujirizisha pasipo na shaka kua mtoto wa mgogoro ni kweli katoka tumboni mwa huyo mama kwanza, usije kuta DNA ikasoma wote watatu hakuna mwenye vinasaba na huyo mtoto wa mgogoro!!Sasa mama unapima wa nini na mtoto katoka tumboni mwake[emoji23]
BalaaLabda mama nae alibadilishiwa kimakosa hospital baada ya kujifungua ,mistake zipo pia, kwa hiyo ni muhimu Mama apime pia ili kujirizisha pasipo na shaka kua mtoto wa mgogoro ni kweli katoka tumboni mwa huyo mama kwanza, usije kuta DNA ikasoma wote watatu hakuna mwenye vinasaba na huyo mtoto wa mgogoro!!
Napenda mtoto sio poaFala wewe, hayo mambo ya mtoto kwa nini ulimwambia Jamaa? Ubinafsi tu
Najitahidi niache ubahiliPole sana mpambanaji mwenzetu, Ushauri wangu kwako ni km ifuatavyo, Ili uwe huru huna budi kupima DNA japo ni gharama, Lakini amani ya moyo ni zaidi ya pesa.