Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Kama mtoto sio wa jamaa hapo mwanamke hawezi kukubali. Kuchukua hicho kipimo kwa Tanzania lazima mwanamke pia akubali hata ivyo nasikia majibu huwa yanachakachuliwa wanasema wanalinda masilahi ya mtotoPima DNA
SahihiKapime DNA upate uhakika, kwa wanawake wa sasa inawezekana hata nyie wote wawili mtoto sio wenu.
Hasara hii. Mwanamke ana tamaa sanaSijabaki nae japo nikitaka napewa nae jamaa anapewa just emagine
Jina na vyeti visikupumbaze, kuna kidume Arusha kilikua kinalipa ada na jina toka hospital linasoma lake,lakini mtoto juzi alipofariki kwenye ile ajali ya wanafunzi Arusha, kidume ndiyo kinasanuliwa mtoto siyo wako na amepelekwa kuzikwa kwao, kidume kimebaki na mshangao hadi sasa! Wanawake ni viumbe hatari sana tuishi nao kwa akili tu!!Kama kuna vitu unafanana nae huna haja ya kuhangaika moyoni. Kama mimi mtoto wangu huwa lazima achukue vitu kama vitatu kwangu. Kuna macho. ,kuna mwendo,kutembea. Kuna nyayo na kichwa. Hivyo huwa wanacopy 100%..
Na Wewe kama umesema kuna vitu unafanana nae. Kama una uhakika na hivyo unavyofanana nae,usiipoteze muda na gharama za DNA,wewe mchukue tu bila kujiuliza. Na ukiamua kumchukua usiwaze nyuma. Endelea kumhudumia. Bahati nzuri vyeti vyake vina jina lako.
Kabisa mkuuDuh, kweli mkuu
Single maza tena
Bora upoteze hata milioni uwe na uhakika kuliko kubaki na dukudukuNawaza ilo ila laki tano inauma sana
Kama kawaida yaoSingle maza tena
Kweli kabisa nimeona hiyo habari nikapunguza zaidi hudumaJina na vyeti visikupumbaze, kuna kidume Arusha kilikua kinalipa ada na jina toka hospital linasoma lake,lakini mtoto juzi alipofariki kwenye ile ajali ya wanafunzi Arusha, kidume ndiyo kinasanuliwa mtoto siyo wako na amepelekwa kuzikwa kwao, kidume kimebaki na mshangao hadi sasa! Wanawake ni viumbe hatari sana tuishi nao kwa akili tu!!
Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
NAKAZIA HAPA.Kapime DNA upate uhakika, kwa wanawake wa sasa inawezekana hata nyie wote wawili mtoto sio wenu.
[emoji736]NAKAZIA HAPA.
Madhara ya kutomba malaya......dhambi za uzinzi zinawatesa vijana wengi....pole sana Mkuu.Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
HahaaBaba wawili tu unalialia, vipi ukijua na hao wengine?
Siku hizi waname wawili nao wanaishe na mke mmoja.Pindi wanaume wawili mnapogundua mna mahusiano na mwanamke mmoja yule atakaebaki na huyo mwanamke ndo mwanaume dhaifu zaidi
Tuuuwane ufurahiSiku hizi waname wawili nao wanaishe na mke mmoja.
Check hawa mbuzi walipanga kabisa wakutane wajadili[emoji23][emoji23][emoji23]
Sitarudia tenaMadhara ya kutomba malaya......dhambi za uzinzi zinawatesa vijana wengi....pole sana Mkuu.