Mtoto wangu ana shida ya Ngozi...anatokewa na vipele vinamwasha sana...ngozi inakauka na kukakamaa alianzwa akiwa na wiki 2 tukafikiri ni vipele vya joto lakini
vimeendelea mpaka sasa ana miezi 6 kwa kwel ni mateso kwa mtoto tumeshaenda kwa wataalam wa Ngozi mpk KCMC mwanzo wakasema ni Eczema wakampa dawa alipotumia vipele na mwasho viliisha but dawa ilipoisha vikarudi tena tukarudi wakatubadilishia dawa but ikawa the same mwenye uelewa wa dawa ya huu ugonjwa pls mtoto mchana halali kabisa ni kujikuna tu....
Asante
vimeendelea mpaka sasa ana miezi 6 kwa kwel ni mateso kwa mtoto tumeshaenda kwa wataalam wa Ngozi mpk KCMC mwanzo wakasema ni Eczema wakampa dawa alipotumia vipele na mwasho viliisha but dawa ilipoisha vikarudi tena tukarudi wakatubadilishia dawa but ikawa the same mwenye uelewa wa dawa ya huu ugonjwa pls mtoto mchana halali kabisa ni kujikuna tu....
Asante