Poleni na majukumu wakuu.
Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila hata sababu.
Nafikiria pengine ana matatizo fulani au hata tabia ya kulilia inaweza ikawa na madhara kiafya.Nimewahi kwenda hospitali lakini nikaambiwa hakuna tatizo ni hali ya kawaida.Kuna wakati hatulali usiku kwa sababu ya kulilia motto.
Kama unajua au una experience na haya mambo naomba mdaada
Unasema analia bila sababu? Si kweli inasemwa kati ya viumbe wasio na unafdiki na uongo basi ni watoto! Akifurahi atacheka na akikerwa na kitu atalia tu! Mwanao anakupa ujumbe kuwa kuna kitu kinamsumbua usichukulie ni kitu kidogo hicho. Mwanao kuna kitu kinamtesa acha yote ushughulikie afya ya mwanao. Mwone specialist wa watoto usichoke ndugu yangu! Hangaika umtoe kwenye mateso mwanao..akikosa raha nawe utakosa amani muda mwingi.fanya hivyo.pole sana
Samahani analilia au analialia sijaelewa
ata mimi sikumuelewa kwakweli
Poleni na majukumu wakuu.
Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila hata sababu.
Nafikiria pengine ana matatizo fulani au hata tabia ya kulilia inaweza ikawa na madhara kiafya.Nimewahi kwenda hospitali lakini nikaambiwa hakuna tatizo ni hali ya kawaida.Kuna wakati hatulali usiku kwa sababu ya kulilia motto.
Kama unajua au una experience na haya mambo naomba mdaada
Poleni na majukumu wakuu.
Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila hata sababu.
Nafikiria pengine ana matatizo fulani au hata tabia ya kulilia inaweza ikawa na madhara kiafya.Nimewahi kwenda hospitali lakini nikaambiwa hakuna tatizo ni hali ya kawaida.Kuna wakati hatulali usiku kwa sababu ya kulilia motto.
Kama unajua au una experience na haya mambo naomba mdaada
Ndugu hata mm Hyao yalinitokea kwa Mwanangu, kiukweli Hapo unapokaa sio pazuri,hiyo nyumba au hapo mtaani kuna vitu vinamtesa mwanao, ni mambo ya kichawi amini usiamini. Ushauri wangu kwako, kama ni mkristo mpeleke kanisani akaombewe, na kama muislam tafuta shehe amsomee,au tafuta Mtaalam. haya mambo yapo.pole sana.