mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
Poleni na majukumu wakuu.
Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila hata sababu.
Nafikiria pengine ana matatizo fulani au hata tabia ya kulilia inaweza ikawa na madhara kiafya.Nimewahi kwenda hospitali lakini nikaambiwa hakuna tatizo ni hali ya kawaida.Kuna wakati hatulali usiku kwa sababu ya kulilia motto.
Kama unajua au una experience na haya mambo naomba mdaada
Nina mtoto (kike) ana miaka miwili.Tangu azaliwe amekuwa akililia sana.Wakati anazaliwa ilionekana ni kawaida lakini kadri muda unavyoenda ndivyo anavyozidi kulilia bila hata sababu.
Nafikiria pengine ana matatizo fulani au hata tabia ya kulilia inaweza ikawa na madhara kiafya.Nimewahi kwenda hospitali lakini nikaambiwa hakuna tatizo ni hali ya kawaida.Kuna wakati hatulali usiku kwa sababu ya kulilia motto.
Kama unajua au una experience na haya mambo naomba mdaada