Alipolazwa uliambiwa ana tatizo gani ?Tuanzie hapo kwanza,hatuwezi kukusaidia kama hatujui mtoto anasumbuliwa na nini!!
1. Kama we ni mkristo funga na kuomba sana maana kwa mtoto imani yake inapitia kwa mama!! Mama akiamini naye ataponywa.. Na kama wewe ni muislam pia omba kwa imani yako na umpeleke kwa wanaouhusika...
2. Mpeleke kwa madaktari bingwa wa watoto ingia gharama tu muone specialist amuangalie aone tatzo hasa ni nini maana inashangaza unampeleka hospital na hawakuambii tatzo ni nini!!! Ni mara elfu wangekuambia hawaoni tatzo lolote kabsa !! Hapo tungeenda kukazania option ya kwanza....
Pole sana na Mungu ampe uzima malaika huyo...