Natanguliza shukrani kwenu..ninamtoto wangu wadau,alipofikisha mwaka mmoja na miezi miwili aliugua ghafla nakulazwa rufaa mbeya,alipokuwa hapo alipumulia mashine kwa siku 26.
Na mwezi wa nne mwaka huu anatimiza miaka miwili nimeenda nae muhimbili kumfanyia CTC scan na picha tunayo lakini hakuna tulichojibiwa cha kitaalamu..tunae nyumbani kwa sasa.
shida hatua haziendi,hata kukaa pekeyake hawezi..
Nisaidieni mawazo jamani..akili yangu mpaka sasa imesimama.
Na mwezi wa nne mwaka huu anatimiza miaka miwili nimeenda nae muhimbili kumfanyia CTC scan na picha tunayo lakini hakuna tulichojibiwa cha kitaalamu..tunae nyumbani kwa sasa.
shida hatua haziendi,hata kukaa pekeyake hawezi..
Nisaidieni mawazo jamani..akili yangu mpaka sasa imesimama.