Pilitoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 1,197
- 507
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache