Ila kweli kuna vyuo unakuta some idara zipo chini ya kabila fulani. Kulikoni?
Ila kweli kuna vyuo unakuta some idara zipo chini ya kabila fulani. Kulikoni?
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache
Mkuu, inategemeana aisee mambo yaeza chenji usikasirike hivyo. Kwa mfano ukipeleka ulaya, amerika au australi bado kuna kaishu ka ubaguzi(nimebaguliwa mimi). Na kahela kake sio mchezo imagine kulipa m50 kwa mwaka kwa kadirio la chini!
Pole ila ndio tz yetu boss
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache
Mkuu, inategemeana aisee mambo yaeza chenji usikasirike hivyo. Kwa mfano ukipeleka ulaya, amerika au australi bado kuna kaishu ka ubaguzi(nimebaguliwa mimi). Na kahela kake sio mchezo imagine kulipa m50 kwa mwaka kwa kadirio la chini!
Pole ila ndio tz yetu boss
chagua nchi na course atakayosoma. Ukimpeleka nchi kama vile urusi asome mdicine akirudi unahitaji kumwanzisha chuo tena. Yaani amemaliza anakuwa kama kapewa introduction in medicine. Akianza kutibu mara moja ni kirusi kwa wagonjwa
Nice ideas. Ulaya gharama ndiyo hizo 50! Kinachofanyika ni KUHAMISHA raslimali za Tanzania kwenda huko Ulaya. Ni ufisadi tu.
Baada ya kulipa hizo mwishowe unapata hiyo elimu na MILA zao. Tunakuwa na imported culture. Ndiyo maana hawa vijana wetu waliosoma nje wana elimu lakini ni watumwa wa mila.
Hatima ya yote haya ni kukosa UZALENDO. Sasa hivi tupo ki matabaka. Wa nje hawaeleweki maana hapa wanapaona ni ugenini. Kwao ni huko walikosoma na wanaweza hata kusaidia uporaji maana hao wazungu ni WENZAO.
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache
Nadhani mnachosema kinaweza kuwa kweli.
Kuna mtu humu JF anajiita ExpertBroker inawezekana na yeye ni product ya aina hizo za upendeleo, maana jamaa hajui kitu kabisa lakini anasema ana degree!!!
Nadhani mnachosema kinaweza kuwa kweli.
Kuna mtu humu JF anajiita ExpertBroker inawezekana na yeye ni product ya aina hizo za upendeleo, maana jamaa hajui kitu kabisa lakini anasema ana degree!!!
Nadhani mnachosema kinaweza kuwa kweli.
Kuna mtu humu JF anajiita ExpertBroker inawezekana na yeye ni product ya aina hizo za upendeleo, maana jamaa hajui kitu kabisa lakini anasema ana degree!!!