Mtoto wangu wa miezi minne hajaota nywele nifanyeje?

Mtoto wangu wa miezi minne hajaota nywele nifanyeje?

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Poleni kwa majukumu wakuu naombeni ushauri.

Mwanangu ametimiza miezi minne tangua azaliwe ila kinachonishangaza tangu tumnyoe zile nywele alizozalowa nazo za uchanga hajaota nywele mpaka leo.

Je, hii ni hali ya kawaida au nifanyeje ili aote nywele.

Watoto wengine wa umri wake na wa chini yake wameota nywele vuzuri tu.

Ahsanteni karibu kwa ushauri.
 
Ni kichwa kizima au ni huku mzunguko wa pembeni tu maana ni mara nyingi huwa zinaanzaga kuota za juu then hizi za pembeni zinakawia kidogo
 
Poleni kwa majukumu wakuu naombeni ushauri.

Mwanangu ametimiza miezi minne tangua azaliwe ila kinachonishangaza tangu tumnyoe zile nywele alizozalowa nazo za uchanga hajaota nywele mpaka leo.

Je, hii ni hali ya kawaida au nifanyeje ili aote nywele.

Watoto wengine wa umri wake na wa chini yake wameota nywele vuzuri tu.

Ahsanteni karibu kwa ushauri.
Punguzeni au muache mapigo. Miezi chini ya minne haishauriwi kabisa. Mkiendelea hata kutembea itakuwa shida, meno ndiyo kabisaaa hayataota
 
Vuta subira zitaota tu, miezi minne bado mdogo mie wangu alikuwa hivyo hivyo nilivyomnyoa za utoto hazikuota mpaka akafikisha miezi kumi wakati huo pacha wake zimeota na zimekuwa ila yeye wapi. Mama yangu akaniambia watoto wanatofautiana hata kama ni mapacha sasa hizi ana nywele kama sio yule. Subira mkuu!
 
Punguzeni au muache mapigo. Miezi chini ya minne haishauriwi kabisa. Mkiendelea hata kutembea itakuwa shida, meno ndiyo kabisaaa hayataota
Mkuu sijakuelewa
 
Vuta subira zitaota tu, miezi minne bado mdogo mie wangu alikuwa hivyo hivyo nilivyomnyoa za utoto hazikuota mpaka akafikisha miezi kumi wakati huo pacha wake zimeota na zimekuwa ila yeye wapi. Mama yangu akaniambia watoto wanatofautiana hata kama ni mapacha sasa hizi ana nywele kama sio yule. Subira mkuu!
Sawa mkuu nashukuru
 
Back
Top Bottom