Mtotomtamuu nawasalimu wana JF

Hahaaa. Kweli kabisa kaka. Itakuwa anataka achore yale Mafisi ya jf.

Ila kutokana na ile issue ya Husna the boss lady walio wengi walijifunza hivyo hapa aandike pata potea sababu ni wachache watakaomzukia huko kwa Waziri Mkuu.
Hahaaaaa!! Taabu sana! Hivi utaanzaje kujiweka kwenye majukwaa Kama hivi? Wezi hawa wanatafuta mazuzu wa kuwatapeli.
 
biashara matangazo kuna nanihii zenu
badoo
hi5
me
nk sahizi ungeshakuwa kitandani kwa mtu unaliwa hilo taqor maana kule biashara ni chapchap.............

wahi sasa...................
Woiiiiiiiiii..... hahaa
 
Hahaaaaa!! Taabu sana! Hivi utaanzaje kujiweka kwenye majukwaa Kama hivi? Wezi hawa wanatafuta mazuzu wa kuwatapeli.
Umeona kaka. Huo ndio ukweli halisi wengi nia zao ni ovu.

Na wanasubiri tu mtu ajichanganye ndio hapo unajulikana uapande wake wa pili wa shilingi.
 
Umeona kaka. Huo ndio ukweli halisi wengi nia zao ni ovu.

Na wanasubiri tu mtu ajichanganye ndio hapo unajulikana uapande wake wa pili wa shilingi.
Vyuma sister!! Dunia uwanja wa fujo!!
 
Hahaaa. Hakika Kaka.

Tuiache tu ili kila mwenye ngoma yake acheze.
Mwenye zeze yake sawa, mwenye gitaa ruksa, mwenye ngoma yake apige!! At the end kila MTU atafunga hesabu zake!!

Dance according to the tune!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…