Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?

Joined
Jul 19, 2020
Posts
39
Reaction score
128
Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo juu.

1. Huyu Bwana Cathbert mwaka 2019 aliwahi kusema kuwa Mkuu wa wilaya Sabaya aliwahi kuvamia hotelini kwake na makundi ya watu na kupora hela na kulazimisha kuchukua mwanamke kwa nguvu na kwamba Bwana Cathebert alisema atatoa Video ya CCTV ikionyesha huo unyama wa Sabaya lakini tangu mwaka 2019 hadi leo ni miaka 2 hakuna hiyo Video; je Video ipo wapi?

2. Anadai Sabaya alimzuia mwekezaji wa maonyesho ya nyoka kufanya hivyo Hai! unajua nyoka ni maliasili na nyara muhimu za serikali? umewahi kumuuliza kama alikidhi vigezo na taratibu za kisheria kumruhusu kufanya hivyo?

3. Huyu bwana katika Video hapo
Juu anasema amekimbia na kujificha kutokana na vitisho vya Sabaya na anamuomba mama Samia amsaidie! Swali mtu anasema amejificha wakati anasema yupo pahala flani kwenye shamba tena mchana kweupe na yupo Tanzania je Kumbuso kujificha ndo huku ambapo Mimi na wewe hatupo Kilimanajaro ila tumeshajua huyu bwana yupo wapi!

4. Asante Tours Ooshi si Arusha na kwamba kuna video ikionyesha kwamba mwezi wa pili mwaka huu kampuni na ofisi iliuzwa kwa mnada na bank ya CRDB mil 600 kutokana na madeni ya bwana huyu anayodaiwa toka mwaka 2009 huko nako Sabaya alikuwa Hai?

6. Zimekuwepo tuhuma za huyu bwana kupora maeneo na kuyabadilisha hati kisha anaenda kukopa bank na kuyatumia kwa
Manufaa yake na DC alishwahi kuyarudisha mashamba kwa wenyewe, je Kumbuso unafahamu Hilo? Je, alishawahi hata kujirekodi kusema kuwa ni uwongo?

Baada ya uteuzi wa mawaziri,makatibu wakuu mhe Rais alisema sasa anakuja kwa ma Rc na kina sabaya,Haya nayo yakazuka,common sense inasemaje?

Naomba Tuanze na haya kisha twende kwenye hoja ya Msingi ya bwana Mfanyabiashara ambae yupo shambani alipojirekodi kutupa habari amejificha.
 
SIASA ZA HAI HUWA HAZIISHI.

Kuna clip za jamaa mmoja zinasambaa anaitwa Cathberth yeye kaamua kufa na Ole Sabaya. Ukimsikiliza jamaa utaona Siasa Professional inayofanyikaga hai. Na inavyoonekana jamaa Kuna watu wamemuweka tu front. Hii issue yake na Sabaya imekaa kisiasa sana na lengo kubwa hapa ni kumu- influence Mama Samia afanye maamuzi wanayotaka yaani Kama wanampangia mama kazi

Kwa Hai bado Siasa za uchaguzi wa 2020 haujaisha. Nakumbuka hili eneo ambalo huyu jamaa analilalamikia liliwahi kuwa na mgogoro mkubwa tu Kati yake na Bibi mmoja ambaye anadai eneo Hilo ni lake. Ngoja nikuwekee link ujikumbushe kidogo.-



Huyu Bibi ali- Trend Sana na baadhi ya watu wakadai amehongwa yule Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha baadaye kwa juhudi za Milard Ayo wakakutanishwa Bibi anayedai kudhulumiwa shamba na Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha. Link ifuatayo inakupa ukweli wote walipokutwanishwa:-



Ni kweli kuwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kumekuwa na mbanano katika ukusanyaji wa Kodi na wengi aidha wameumia. Lakini mbanano huo umeifanya Halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kimkoa kwenye makusanyo ya Kodi na ya Sita Kitaifa.

Haya anayoyalalamikia Cathberth ni mfumo sio Mtu. Haya anayoyalalamikia kila mfanyabiashara analalamikia. Task force za kudai Kodi zipo nchi nzima na wengi wamedaiwa hivyo na wengine ni kweli wamefilisika.

Ndio maana naona Siasa nyuma ya hili Jambo.

Tuchukulie Mfano Akhsante Tours ipo Manispaa ya Moshi lakini Juzi Juzi imepigwa mnada na CRDB kwa nini asilalamikie Hilo?

Kwenye video nyingine anadai amejificha Jipe kweli Jipe ni mahali pa Kujificha? Kwamba hao maadui zake wanashindwa kufika Jipe?

Kinachofanyika Sasa ni Sabaya aondolewe Hai. Hii ndio agenda not otherwise na huenda akafanikiwa.

Siasa za Hai huwa haziishi Kirahisi...... hii ndio Siasa Professional na kwa jicho la kawaida huwezi kuona.

Kwa kuwa kuna ahueni Kidogo kwa wafanyabiashara kutokana na kauli ya Mama Samia Cathberth aache kubeba watu mgongoni arudi kwenye game ya biashara afanye biashara mambo yasonge. Huu ugomvi wake na Sabaya ni wa kisiasa zaidi na haumnufaishi yeye wala Sabaya. Anayenufaika ni wanasiasa ambao hawaonekani kabisa.

Ole Mushi
0712702602.
 
Mbona huyo mfanya biashara anazo hadi footage za cctv camera zikionyesha Sabaya kuvamia? Hiyo ndiyo michezo ya Sabaya, OCD na polisi Hai wameibariki na kila mtu anafahamu hilo.

Inachekesha unavyosema Sabaya anachafuliwa wakati tayari ni mchafu na asafishiki!

Swala la kudaiwa hamna maajabu hapo kwani ueliwi sekta ya utalii na hotel ilipigwa na corona?
 
SIASA ZA HAI HUWA HAZIISHI.

Kuna clip za jamaa mmoja zinasambaa anaitwa Cathberth yeye kaamua kufa na Ole Sabaya. Ukimsikiliza jamaa utaona Siasa Professional inayofanyikaga hai. Na inavyoonekana jamaa Kuna watu wamemuweka tu front. Hii issue yake na Sabaya imekaa kisiasa sana na lengo kubwa hapa ni kumu- influence Mama Samia afanye maamuzi wanayotaka yaani Kama wanampangia mama kazi

Kwa Hai bado Siasa za uchaguzi wa 2020 haujaisha. Nakumbuka hili eneo ambalo huyu jamaa analilalamikia liliwahi kuwa na mgogoro mkubwa tu Kati yake na Bibi mmoja ambaye anadai eneo Hilo ni lake. Ngoja nikuwekee link ujikumbushe kidogo.-



Huyu Bibi ali- Trend Sana na baadhi ya watu wakadai amehongwa yule Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha baadaye kwa juhudi za Milard Ayo wakakutanishwa Bibi anayedai kudhulumiwa shamba na Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha. Link ifuatayo inakupa ukweli wote walipokutwanishwa:-



Ni kweli kuwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kumekuwa na mbanano katika ukusanyaji wa Kodi na wengi aidha wameumia. Lakini mbanano huo umeifanya Halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kimkoa kwenye makusanyo ya Kodi na ya Sita Kitaifa.

Haya anayoyalalamikia Cathberth ni mfumo sio Mtu. Haya anayoyalalamikia kila mfanyabiashara analalamikia. Task force za kudai Kodi zipo nchi nzima na wengi wamedaiwa hivyo na wengine ni kweli wamefilisika.

Ndio maana naona Siasa nyuma ya hili Jambo.

Tuchukulie Mfano Akhsante Tours ipo Manispaa ya Moshi lakini Juzi Juzi imepigwa mnada na CRDB kwa nini asilalamikie Hilo?

Kwenye video nyingine anadai amejificha Jipe kweli Jipe ni mahali pa Kujificha? Kwamba hao maadui zake wanashindwa kufika Jipe?

Kinachofanyika Sasa ni Sabaya aondolewe Hai. Hii ndio agenda not otherwise na huenda akafanikiwa.

Siasa za Hai huwa haziishi Kirahisi...... hii ndio Siasa Professional na kwa jicho la kawaida huwezi kuona.

Kwa kuwa kuna ahueni Kidogo kwa wafanyabiashara kutokana na kauli ya Mama Samia Cathberth aache kubeba watu mgongoni arudi kwenye game ya biashara afanye biashara mambo yasonge. Huu ugomvi wake na Sabaya ni wa kisiasa zaidi na haumnufaishi yeye wala Sabaya. Anayenufaika ni wanasiasa ambao hawaonekani kabisa.

Ole Mushi
0712702602.
Sasa sabaya yeye ni nafisa wa tra?
 
images.jpeg


Mmesahau hawa walevi walioutumwa kumfanyia Mbowe vurugu hai ! MATAGA msitupigie kelele kwani Sabaya Hana nguvu tena sababu Jiwe hayupo?
 
SIASA ZA HAI HUWA HAZIISHI.

Kuna clip za jamaa mmoja zinasambaa anaitwa Cathberth yeye kaamua kufa na Ole Sabaya. Ukimsikiliza jamaa utaona Siasa Professional inayofanyikaga hai. Na inavyoonekana jamaa Kuna watu wamemuweka tu front. Hii issue yake na Sabaya imekaa kisiasa sana na lengo kubwa hapa ni kumu- influence Mama Samia afanye maamuzi wanayotaka yaani Kama wanampangia mama kazi

Kwa Hai bado Siasa za uchaguzi wa 2020 haujaisha. Nakumbuka hili eneo ambalo huyu jamaa analilalamikia liliwahi kuwa na mgogoro mkubwa tu Kati yake na Bibi mmoja ambaye anadai eneo Hilo ni lake. Ngoja nikuwekee link ujikumbushe kidogo.-



Huyu Bibi ali- Trend Sana na baadhi ya watu wakadai amehongwa yule Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha baadaye kwa juhudi za Milard Ayo wakakutanishwa Bibi anayedai kudhulumiwa shamba na Bibi anayeitwa Chalii ya Arusha. Link ifuatayo inakupa ukweli wote walipokutwanishwa:-



Ni kweli kuwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kumekuwa na mbanano katika ukusanyaji wa Kodi na wengi aidha wameumia. Lakini mbanano huo umeifanya Halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kimkoa kwenye makusanyo ya Kodi na ya Sita Kitaifa.

Haya anayoyalalamikia Cathberth ni mfumo sio Mtu. Haya anayoyalalamikia kila mfanyabiashara analalamikia. Task force za kudai Kodi zipo nchi nzima na wengi wamedaiwa hivyo na wengine ni kweli wamefilisika.

Ndio maana naona Siasa nyuma ya hili Jambo.

Tuchukulie Mfano Akhsante Tours ipo Manispaa ya Moshi lakini Juzi Juzi imepigwa mnada na CRDB kwa nini asilalamikie Hilo?

Kwenye video nyingine anadai amejificha Jipe kweli Jipe ni mahali pa Kujificha? Kwamba hao maadui zake wanashindwa kufika Jipe?

Kinachofanyika Sasa ni Sabaya aondolewe Hai. Hii ndio agenda not otherwise na huenda akafanikiwa.

Siasa za Hai huwa haziishi Kirahisi...... hii ndio Siasa Professional na kwa jicho la kawaida huwezi kuona.

Kwa kuwa kuna ahueni Kidogo kwa wafanyabiashara kutokana na kauli ya Mama Samia Cathberth aache kubeba watu mgongoni arudi kwenye game ya biashara afanye biashara mambo yasonge. Huu ugomvi wake na Sabaya ni wa kisiasa zaidi na haumnufaishi yeye wala Sabaya. Anayenufaika ni wanasiasa ambao hawaonekani kabisa.

Ole Mushi
0712702602.

Mwambie huyo Ole Mushi aache upumbavu wake.
 
Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo Juu....
Nyanda aendelee kujipendekeza apate hela ya Ugali
 
Ndugu yangu ukitaka kumtetea sabaya utaishia kuchafuka mwenyewe. Hata umtoe swai katika masuala aliyowahi kufanya sabaya ni mengi. Muulize nandy alichofanyiwa pale weruweru mountain lodge usiku sabaya akiwa na genge lake.
 
Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo Juu

1.Huyu Bwana Cathbert mwaka 2019 aliwahi kusema kuwa Mkuu wa wilaya Sabaya aliwahi kuvamia hotelini kwake na makundi ya watu na kupora hela na kulazimisha kuchukua mwanamke kwa nguvu na kwamba Bwana Cathebert alisema atatoa Video ya CCTV ikionyesha huo unyama wa Sabaya lakini tangu mwaka 2019 hadi leo ni miaka 2 hakuna hiyo Video je Video ipo wapi?

2.Anadai sabaya alimzuia mwekezaji wa maonyesho ya nyoka kufanya hivyo hai ! unajua nyoka ni maliasili na nyara muhimu za serikali? umewahi kumuuliza kama alikidhi vigezo na taratibu za kisheria kumruhusu kufanya hivyo?


3.Huyu bwana katika Video hapo
Juu anasema amekimbia na kujificha kutokana na vitisho vya Sabaya na anamuomba mama Samia amsaidie! Swali mtu anasema amejificha wakati anasema yupo pahala flani kwenye shamba tena mchana kweupe na yupo Tanzania je Kumbuso kujificha ndo huku ambapo
Mimi na wewe hatupo Kilimanajaro ila tumeshajua huyu bwana yupo wapi!

4.Asante tours moshi si Arusha na kwamba kuna video ikionyesha kwamba mwezi wa pili mwaka huu kampuni na ofisi iliuzwa kwa mnada na bank ya Crdb mil 600 kutokana na madeni ya bwana huyu anayodaiwa toka mwaka 2009 huko nako sabaya alikuwa Hai?

6.Zimekuwepo tuhuma za huyu bwana kupora maeneo na kuyabadilisha hati kisha anaenda kukopa bank na kuyatumia kwa
Manufaa yake na Dc alishwahi kuyarudisha mashamba kwa wenyewe je Kumbuso unafahamu
Hilo? Je alishawahi hata kujirekodi kusema kuwa ni uwongo?

Baada ya uteuzi wa mawaziri,makatibu wakuu mhe Rais alisema sasa anakuja kwa ma Rc na kina sabaya,Haya nayo yakazuka,common sense inasemaje?

Naomba Tuanze na haya kisha twende kwenye hoja ya Msingi ya bwana Mfanyabiashara ambae yupo shambani alipojirekodi kutupa habari amejifiHuyo Sabaya mwenyewe msafi hadi useme anachafuliwa. Huyo kijana uanay

Anaandika Mtozi Alloyce Nyanda

Nimeona Video ya Mfanyabiasha Cathbert imepostiwa na @kumbushodawson

Kumbuso ni rafiki yangu sana na kwa kuwa sisi sote huwa ni waumini wa ujenzi wa hoja basi kabla ya kuingia katika mjadala wa msingi napenda maswali haya yajibiwe kisha tuje sasa kwenye Hoja hiyo hapo Juu

1.Huyu Bwana Cathbert mwaka 2019 aliwahi kusema kuwa Mkuu wa wilaya Sabaya aliwahi kuvamia hotelini kwake na makundi ya watu na kupora hela na kulazimisha kuchukua mwanamke kwa nguvu na kwamba Bwana Cathebert alisema atatoa Video ya CCTV ikionyesha huo unyama wa Sabaya lakini tangu mwaka 2019 hadi leo ni miaka 2 hakuna hiyo Video je Video ipo wapi?

2.Anadai sabaya alimzuia mwekezaji wa maonyesho ya nyoka kufanya hivyo hai ! unajua nyoka ni maliasili na nyara muhimu za serikali? umewahi kumuuliza kama alikidhi vigezo na taratibu za kisheria kumruhusu kufanya hivyo?


3.Huyu bwana katika Video hapo
Juu anasema amekimbia na kujificha kutokana na vitisho vya Sabaya na anamuomba mama Samia amsaidie! Swali mtu anasema amejificha wakati anasema yupo pahala flani kwenye shamba tena mchana kweupe na yupo Tanzania je Kumbuso kujificha ndo huku ambapo
Mimi na wewe hatupo Kilimanajaro ila tumeshajua huyu bwana yupo wapi!

4.Asante tours moshi si Arusha na kwamba kuna video ikionyesha kwamba mwezi wa pili mwaka huu kampuni na ofisi iliuzwa kwa mnada na bank ya Crdb mil 600 kutokana na madeni ya bwana huyu anayodaiwa toka mwaka 2009 huko nako sabaya alikuwa Hai?

6.Zimekuwepo tuhuma za huyu bwana kupora maeneo na kuyabadilisha hati kisha anaenda kukopa bank na kuyatumia kwa
Manufaa yake na Dc alishwahi kuyarudisha mashamba kwa wenyewe je Kumbuso unafahamu
Hilo? Je alishawahi hata kujirekodi kusema kuwa ni uwongo?

Baada ya uteuzi wa mawaziri,makatibu wakuu mhe Rais alisema sasa anakuja kwa ma Rc na kina sabaya,Haya nayo yakazuka,common sense inasemaje?

Naomba Tuanze na haya kisha twende kwenye hoja ya Msingi ya bwana Mfanyabiashara ambae yupo shambani alipojirekodi kutupa habari amejificha
Huyo Sabaya mwenyewe msafi hadi uingie kazini kumtetea?
 
Back
Top Bottom