Mtu akiacha pombe ghafla anaweza kufa

Mtu akiacha pombe ghafla anaweza kufa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habari wakuu.

Nimekuja tena kuwatisha. Ipo hivi, watu wengi wanafikiri pombe huchochea utendaji wa akili, ukweli ni kuwa pombe hupunguza utendaji wa akili. kama ilivyo heroin. Ndiyo sababu mtu aliyekunywa pombe hawezi kufikiri wala kutenda mambo sawasawa. Inafanya hivyo kwa kuzuia sehemu ambayo vichocheo vya ubongo huenda kufanya kazi yake.

Kwa mtu ambaye ni mlevi kupita kiasi, ubongo wake hukabiliana na athari hizo za pombe kwa kutengeneza vichocheo vingi kupita kiasi. Ili walau uweze kufanya kazi. Sasa basi, siku mlevi huyu akiacha pombe ghafla, kwenye ubongo wake kutakuwa na vichocheo vingi sana na huku pombe iliyokuwa inavizuia kufnya kazi yake ikiwa haipo. Hapo shida ndipo huanza, ubongo unachochewa kufanya kazi isivyo kawaida. Hilo linaleta kuchanganyikiwa na hata kifo. Ni kitu cha hatari sana.

Mlevi sugu hatakiwi kuacha pombe ghafla.
 
Habari wakuu. Nimekuja tena kuwatisha. Ipo hivi, watu wengi wanafikiri pombe huchochea utendaji wa akili, ukweli ni kuwa pombe hupunguza utendaji wa akili. kama ilivyo heroin. Ndiyo sababu mtu aliyekunywa pombe hawezi kufikiri wala kutenda mambo sawasawa. Inafanya hivyo kwa kuzuia sehemu ambayo vichocheo vya ubongo huenda kufanya kazi
Tupe na sigara ukiacha ghafla
 
Kwani pombe ni damu au Maji kwamba ukivikosa mwili wako unaathilika?
 
Wanaopelekwa Sober House hawaachishwi Vilevi walivyokuwa wakitumia kwa ghafla, huachishwa taratibu. Usisubutu kuacha Ulabu ghafla, Utakufa!!
 
Wanaopelekwa Sober House hawaachishwi Vilevi walivyokuwa wakitumia kwa ghafla, huachishwa taratibu. Usisubutu kuacha Ulabu ghafla, Utakufa!!!...
Vipi mlevi
akilazwa? Tunaweza sema amekufa ugonjwa kumbe ni sababu ya kuacha pombe ghafla.
 
kuna mtakatifu mmoja wa pombe akifanya kosa anajipiga faini yeye mwenyewe kwa kunywa hata bia mbili au tatu.sasa ni faini gani hii!

wanywa pombe kupitiliza huwa mnajipasia mambo kivyenuvyenu tu.
 
Habari wakuu.

Nimekuja tena kuwatisha. Ipo hivi, watu wengi wanafikiri pombe huchochea utendaji wa akili, ukweli ni kuwa pombe hupunguza utendaji wa akili. kama ilivyo heroin. Ndiyo sababu mtu aliyekunywa pombe hawezi kufikiri wala kutenda mambo sawasawa. Inafanya hivyo kwa kuzuia sehemu ambayo vichocheo vya ubongo huenda kufanya kazi yake.

Kwa mtu ambaye ni mlevi kupita kiasi, ubongo wake hukabiliana na athari hizo za pombe kwa kutengeneza vichocheo vingi kupita kiasi. Ili walau uweze kufanya kazi. Sasa basi, siku mlevi huyu akiacha pombe ghafla, kwenye ubongo wake kutakuwa na vichocheo vingi sana na huku pombe iliyokuwa inavizuia kufnya kazi yake ikiwa haipo. Hapo shida ndipo huanza, ubongo unachochewa kufanya kazi isivyo kawaida. Hilo linaleta kuchanganyikiwa na hata kifo. Ni kitu cha hatari sana.

Mlevi sugu hatakiwi kuacha pombe ghafla.
Hatari kwa kweli...
 
Habari wakuu.

Nimekuja tena kuwatisha. Ipo hivi, watu wengi wanafikiri pombe huchochea utendaji wa akili, ukweli ni kuwa pombe hupunguza utendaji wa akili. kama ilivyo heroin. Ndiyo sababu mtu aliyekunywa pombe hawezi kufikiri wala kutenda mambo sawasawa. Inafanya hivyo kwa kuzuia sehemu ambayo vichocheo vya ubongo huenda kufanya kazi yake.

Kwa mtu ambaye ni mlevi kupita kiasi, ubongo wake hukabiliana na athari hizo za pombe kwa kutengeneza vichocheo vingi kupita kiasi. Ili walau uweze kufanya kazi. Sasa basi, siku mlevi huyu akiacha pombe ghafla, kwenye ubongo wake kutakuwa na vichocheo vingi sana na huku pombe iliyokuwa inavizuia kufnya kazi yake ikiwa haipo. Hapo shida ndipo huanza, ubongo unachochewa kufanya kazi isivyo kawaida. Hilo linaleta kuchanganyikiwa na hata kifo. Ni kitu cha hatari sana.

Mlevi sugu hatakiwi kuacha pombe ghafla.

Sasa inakuwaje yule mlevi aliyevunja kanisani huko kanda ya ziwa akaenda kuondoa CCTV camera ,akaenda kuchukua na hard disk? Akili hiyo ya mlevi chakari aliitoa wapi?
 
Namuachia nan...ngoja wahudumu wakusikie...watakuachia laana
 
Back
Top Bottom