The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kila mtu na starehe zake,
Huwezi kumshauri mtu atembelee wapi wakati hujui anapenda nini.
Huwezi kumshauri mtu atembelee wapi wakati hujui anapenda nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Ikulu sikuhizi kuna wanyamapori, nadhani patakufaa. Anza na utalii wa ndani
Kuna mshkaji alivyo fika dar tu kabla hajapoa wahuni wakamwambia atafute buku 20 nauli ya kwenda na kurudi zanzibar,mshkaji akatoa hiyo pesa,
Wahuni wakamvusha pantoni kwenda kigamboni wakashindanae huko jioni wakamrudisha,
Akaja kujua aliingizwa mjini baada ya miezi kupita
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza mtembelee mwenyeji wako mkuuMara ya kwanza kufika nilipelekwa Magogoni 'Striti', kisha baharini kushangaa baharini, kisha kadaraja ka Manzese.
Njoo ushauri watu machimbo ya kushangaa hasa sisi wa Miji kasoro Dar.
aiseeBeach ya mabibo mwisho
Kimboka ya buguruni
Jr[emoji769]
aisee
swiming' pul dar mnaziita bichi.
na lile joto lenu, si ntakuwa kama naogelea kwenye sufuria la supu
baada ya hapoKwanza mtembelee mwenyeji wako mkuu
hao mkuu, nawaweka ndani fasta.Kuna mshkaji alivyo fika dar tu kabla hajapoa wahuni wakamwambia atafute buku 20 nauli ya kwenda na kurudi zanzibar,mshkaji akatoa hiyo pesa,
Wahuni wakamvusha pantoni kwenda kigamboni wakashindanae huko jioni wakamrudisha,
Akaja kujua aliingizwa mjini baada ya miezi kupita
Sent using Jamii Forums mobile app
nasikia hata supu ya popo isiyo na korona unaweza pata ukiingia chimboHivi dar ndio sehemu pekee ambayo Hadi miguu ya kuku na bata inauzwa na watu wananunua!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa, ni mwendo wa kuunga mkono juhudiNaunga mkono hoja.
Yeah, miaka ya nyuma kidogo awamu ya mh Mkapa, ulikuwa ukipita geti la nyuma anapoingilia Waziri mkuu, wanyama walikuwa wanaonekana kirahisi tu.Mkuu mimi nilianziaga pale, unachungulia wale swala wakubwa na tausi. Siku hizi makirikiri kila kona na ukijchanganya unakula konzi na makofi ya kufa nyumbu.
ipo andaa 15,000 tu[emoji16][emoji23][emoji2]hao mkuu, nawaweka ndani fasta.
hivi hakuna jinsi mtu akaenda zanzibar kwa bus
Ikulu ya magogoni hususani pale kwenye wale wanyamaMara ya kwanza kufika nilipelekwa Magogoni 'Striti', kisha baharini kushangaa baharini, kisha kadaraja ka Manzese.
Njoo ushauri watu machimbo ya kushangaa hasa sisi wa Miji kasoro Dar.
mkuu hujaona ile video inaonyesha kwenye ukuta wameziba watu wa nje wasione wanyama kama ilivyokuwa zamani nasikia.Ikulu ya magogoni hususani pale kwenye wale wanyama
Corner bar ya sinzaBeach ya mabibo mwisho
Kimboka ya buguruni
Jr[emoji769]
sio dar vijijini huko kweli mrembo lupita