Mtu akihukumiwa,faini anayotoa huenda wapi?

WABALLA Inc

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
2,711
Reaction score
1,017
Wiki iliyopita mke wangu alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Tsh 300,000/= kwa kosa la kutukana.
Tulilipa faini,wiki hii ameambiwa alipe fidia ya Tsh 81,000/= kwa mtu aliyefungua mashitaka kuwa alisababisha hasara katika biashara ya mlalamikaji.
SWALI AMBALO LIMENIUMIZA KICHWA BILA KUPATA MAJIBU NI; Hiyo faini ya Tsh 300,000/= imeenda wapi/kwa nani/katika mfuko upi?!
 
Faini inakatiwa risiti ya mahakama inakuwa ni fedha inayoingia kwenye pato la serikali na fidia analipwa mtu aliyefingua mashtaka na kushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…