Wiki iliyopita mke wangu alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Tsh 300,000/= kwa kosa la kutukana.
Tulilipa faini,wiki hii ameambiwa alipe fidia ya Tsh 81,000/= kwa mtu aliyefungua mashitaka kuwa alisababisha hasara katika biashara ya mlalamikaji.
SWALI AMBALO LIMENIUMIZA KICHWA BILA KUPATA MAJIBU NI; Hiyo faini ya Tsh 300,000/= imeenda wapi/kwa nani/katika mfuko upi?!