fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,071
Kura ni maisha yetu ya kila siku, mtu anashikwa ameiba kura, au anakura feki, mtu huyo apewe adhabu gani??? maana hali ya wizi wa kura sasa imekuwa kubwa, hizi kauli za kulinda kura ndo Upinzani ushinde tunatakiwa kujiandaa mapema ili tunapokamata kura feki au wizi wa kura kwa kubadilisha matokeo, tuwe tunajua tunapaswa kuwafanya nini wezi hawa?? Cha ajabu na cha kuzingatia wengi wa wezi hawa wanashirikiana na vyombo vyetu, je tuwafanye nini wezi wa kura.
Kuna clip moja ya kijana wa tarime, akiwa igunga na tisheti ya njano anasema mipango ya kuiba kura ipo na usalama somtimes pamoja na tume ndo wanakula njama hizo na chama fulani hapa TZ. Tuwafanye nini wezi hawa maana hilo ndo tatizo kubwa jamii inamchagua S anashinda K.
Nawasilisha
Kuna clip moja ya kijana wa tarime, akiwa igunga na tisheti ya njano anasema mipango ya kuiba kura ipo na usalama somtimes pamoja na tume ndo wanakula njama hizo na chama fulani hapa TZ. Tuwafanye nini wezi hawa maana hilo ndo tatizo kubwa jamii inamchagua S anashinda K.
Nawasilisha