Mtu akikupenda swala la kuonana naye na kuwasiliana hamtabembelezani kabisa

Mtu akikupenda swala la kuonana naye na kuwasiliana hamtabembelezani kabisa

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Mtu akikupenda swala la kuonana naye na kuwasiliana hamtabembelezani kabisa
1731165830712.jpg
ila rafiki ukimpenda mtu asiyekupenda mnaweza kukaa mtaa moja au sehemu moja, swala la kuonana mtihani kila siku pruu pruuu wala hana hamasa ya kuonana na wewe na mawasiliano umuanze

Akikupenda swala la kuonana na kuwasiliana huwa la kawaida sana. Hutenga muda wake ndani ya ratiba zake kwa ajili yako akupendaye

Ndugu yangu najua hii imekugusa iwe siri yako usimwambie mtu mwingine baki nayo hii siri itakusaidia mahala fulani uone ni sahihi kuwa mpweke kiasi hicho huku una mahusiano 😀

SINGLE BUT TAKEN yaani una mahusiano ila mpweke mpaka unatia huruma hata kuonana au kuwasiliana shida. Mnapigaje hatua mbele kama hamuonani au hamuwasiliani vizuri naye

Rafiki yangu mwema utakuwa unateswa na UGALATIA wala si mapenzi. Siku ukiachana na UGALATIA mapenzi hayawezi kukutesa hivyo.
 
Mtu akikupenda swala la kuonana naye na kuwasiliana hamtabembelezani kabisaView attachment 3147960 ila rafiki ukimpenda mtu asiyekupenda mnaweza kukaa mtaa moja au sehemu moja, swala la kuonana mtihani kila siku pruu pruuu wala hana hamasa ya kuonana na wewe na mawasiliano umuanze

Akikupenda swala la kuonana na kuwasiliana huwa la kawaida sana. Hutenga muda wake ndani ya ratiba zake kwa ajili yako akupendaye

Ndugu yangu najua hii imekugusa iwe siri yako usimwambie mtu mwingine baki nayo hii siri itakusaidia mahala fulani uone ni sahihi kuwa mpweke kiasi hicho huku una mahusiano 😀

SINGLE BUT TAKEN yaani una mahusiano ila mpweke mpaka unatia huruma hata kuonana au kuwasiliana shida. Mnapigaje hatua mbele kama hamuonani au hamuwasiliani vizuri naye

Rafiki yangu mwema utakuwa unateswa na UGALATIA wala si mapenzi. Siku ukiachana na UGALATIA mapenzi hayawezi kukutesa hivyo.
Ujumbe wako mzuri ila hapo kwenye UGALATIA unaondoa maana nzima ya ujumbe wako na tunapata picha na tabia yako ya udini udini na chuki zako kwa wasio na imani na wewe. Mjinga mkubwa wewe!!
 
Tatizo kumwambia mtu sikupendii ile ya moja kwa moja ndo shida.
Sasa mtu anaamua tu akuhurumie na hiyo yakutokuonana wala kuwasiliana ili ujiongeze mwenyewe, ajabu ni kwamba wengi hawajiongezagi🥹
 
Back
Top Bottom