Mtu akiwa anakaribia kukata roho huwa anaona aibu kuangalia usoni watu wanaokuwa karibu yake

Mtu akiwa anakaribia kukata roho huwa anaona aibu kuangalia usoni watu wanaokuwa karibu yake

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Kuna wale waliobahatika kushuhudia siku za mwisho za wapendwa wao wakiwa hospitali kuna Ile aibu wanaipata dakika za mwisho wakitaka kukata roho🥺nilipata kuishuhudia

Sema nini wakuu Tuombe mwisho mwema

Binafsi hio kitu imeniathiri sana kisaikolojia sana nilipata kumpa chakula marehemu masaa machache kabla ya umauti wake (alikuwa ameshanisahau mpaka Jina langu) alikumbuka tu mimi ni mwanae Ila hakukumbuka Ata jina langu

Najua kuna Watu mna experience kuna Watu huwa wanafariki lakini ni ngumu kuwasahau matendo mfano nyerere,kanumba, Gadafi, bibi titi
na kuna Watu huwa wakifa kuwa sahau ni rais


Nikimkumbuka mpendwa mama mzazi wangu najikuta naingia kwenye dimbwi la mawazo vidonda vya tumbo vinakuja kwa kasi haswa namna alivyokuwa anaweza kusocialize na watu mbalimbali(hio kitu sijabarikiwa sio social sana )

Alikuwa kiunganishi sana cha watu nakumbuka watu wengi walioa kupitia wafanyakazi mbalimbali waliofanya kazi na mama. Watu walipata ridhiki mbalimbali msiba wake uliuzuliwa na watu zaidi ya 1000, na ni kijijini hii inaonesha ni kiasi gani alikuwa kipenzi cha watu

Mwishowe mpaka natamani kumfata aliko. 🤔Jamii forum imekuwa familia kwangu napata faraja sana mjadala mbalimbali kubadilishana mawazo

Dah Sema shukrani kwa wanajamii kwa ujumla. 💪Mpo vizui
 
Na wahudumu wa afya, wachungaji, mapadri, n.k wanaonaga mwisho wa watu wengi
 
Umesema msiba ulihuzuliwa na umati wa watu elf moja yaan watu elf moja nao ni umati?

Ushawahi kuona nyomi la misiba ya kisukuma kweli wewe

Mtu mmoja anazikwa na vijiji 7 na kila Kijiji kina wakazi elf nane nane

Yaan mtu anazikwa nyampande lakin wanahuzuria watu wa kuanzia busisi mpaka sengelema
 
Umesema msiba ulihuzuliwa na umati wa watu elf moja yaan watu elf moja nao ni umati?

Ushawahi kuona nyomi la misiba ya kisukuma kweli wewe

Mtu mmoja anazikwa na vijiji 7 na kila Kijiji kina wakazi elf nane nane

Yaan mtu anazikwa nyampande lakin wanahuzuria watu wa kuanzia busisi mpaka sengelema
wasukuma bwana sasa kulikua na haja gani my wangu?
 
Umesema msiba ulihuzuliwa na umati wa watu elf moja yaan watu elf moja nao ni umati?

Ushawahi kuona nyomi la misiba ya kisukuma kweli wewe

Mtu mmoja anazikwa na vijiji 7 na kila Kijiji kina wakazi elf nane nane

Yaan mtu anazikwa nyampande lakin wanahuzuria watu wa kuanzia busisi mpaka sengelema
Hvi unazjua scattered houses za vijijini Kwa kijijini chetu ni weng mno maana siku hiyo maduka yalifungwa yote pale kijijini (sio congested houses kama daslam au labda mwanza mabatini )
 
sure hii ilitokea kwa mwanangu ilikuwa anakuangalia lakini ukimuangalia tu anageuza shingo kwa haraka anaangalia pembeni.
wakati anakaribia kufa hakumuangalia kabisa mama yake usoni.
my only daughter may your Soul REST IN ETERNAL PEACE
 
Kila mtu ana style yake ya kufa kuna wengine wanakufa kwa mateso saana kuna wengine wanatoa wosia kabisa kuna wengine mnapiga stori hadi dk za mwisho kuna wengine wanatoa taarifa kabsa kuwa sasa anaaga dunia hivyo huwezi kuwajumuisha hawa wote ukaja na jibu moja.
Pengine huyo aliyekuwa anaogopa kukuangalia usoni kuna makosa alikutendea na mpka anaona kabsa anataka kukata roho hajakuomba msamaha hvyo nafsi unamsuta
 
sure hii ilitokea kwa mwanangu ilikuwa anakuangalia lakini ukimuangalia tu anageuza shingo kwa haraka anaangalia pembeni.
wakati anakaribia kufa hakumuangalia kabisa mama yake usoni.
my only daughter may your Soul REST IN ETERNAL PEACE
Pole sana apumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom