inawezekana yeye ndo huyo chatu mwenyeweHoja yako ni nini hasa? Hueleweki
unapanic nini mkuu................... take it easyUongo tu huko kwenu kwa malapa wengne waliotolewa macho wapo wapi
Hoja yako ni nini hasa? Hueleweki
Bange kwetu mboga kama uelewiii umejibuuu nn?Ndiyo maana huwa wanashauriwa kuwa wasivute kwanza ' bange ' kama hawajala na kushiba hawasikii. Madhara yake ndiyo hayo aliyotuandikia ambapo hata Mimi sijamwelewa na naona ' maluweluwe ' tupu!
Mara Mr Canada hajui "kidhungu" yani watu wa Dar wana mambo loh!Hii story alinisimulia mama eti huyo mtu aliwekewa dawa na mkewe ktk maji yakuoga ili azidi kumpenda mkewe baada ya kuoga huyo mume akageuka chatu....nahisi zilikuwa story za kuwafanya wanawake wasitumie hizo dawa. Pengine ni huu uongo wa DSM umeanza siku nyingi manake dar napo kwa uongo ...Mara mtu kayeyuka ktk mataa salenda...Mara wamegandana...Mara Lipumba hana mtoto...Mara sijui nini yaani uongo ni kama sehemu ya dar
Bange kwetu mboga kama uelewiii umejibuuu nn?
Hiyo stori mpaka gazeti la wakati huo "mfanyakazi" lilipoti habari hii.hili joka la buguruni hata mie niliwahi lisikia nikiwa mtoto