Mtu aliyefanikiwa hawezi akakubania hata siku moja, Amini kwamba

Mtu aliyefanikiwa hawezi akakubania hata siku moja, Amini kwamba

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Mfano Mimi namiliki Biashara sita.

Ninaingiza faida hadi mil 1 Kwa siku .

Nina Assets nyingi .

Sasa iweje nikubanie wewe kijana unayejitafuta ambaye hata ukipata Kazi utaishia kulipwa mil 1 au 2 sawa sawa na faida yangu Kwa siku.

So vijana mnaojitafuta kuweni karibu na watu waliofanikiwa .
 
🤣Asante mkuu! Mimi ni mmoja wale wanajf ambae sio taita, sijawah kwenda nje, sijuani na viongozi wakubwa, Sina gari, Sina nyumba
 
🤣Asante mkuu! Mimi ni mmoja wale wanajf ambae sio taita, sijawah kwenda nje, sijuani na viongozi wakubwa, Sina gari, Sina nyumba
Sawa Ila wewe utatoboa soon
 
Back
Top Bottom