Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Mfano Mimi namiliki Biashara sita.
Ninaingiza faida hadi mil 1 Kwa siku .
Nina Assets nyingi .
Sasa iweje nikubanie wewe kijana unayejitafuta ambaye hata ukipata Kazi utaishia kulipwa mil 1 au 2 sawa sawa na faida yangu Kwa siku.
So vijana mnaojitafuta kuweni karibu na watu waliofanikiwa .
Ninaingiza faida hadi mil 1 Kwa siku .
Nina Assets nyingi .
Sasa iweje nikubanie wewe kijana unayejitafuta ambaye hata ukipata Kazi utaishia kulipwa mil 1 au 2 sawa sawa na faida yangu Kwa siku.
So vijana mnaojitafuta kuweni karibu na watu waliofanikiwa .