I just ask
Member
- Nov 12, 2020
- 14
- 15
Hivi mtu aliye soma marketing course kwa kazi yoyote ile anaweza kujiajilije yeye kama yeye kwa kile alichojifunza chuoni au ability yake ya kufanya mambo according kwa knowledge yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53] maybe lkn kuna watu wana pesa still cant do businessUkiwa na mtaji hata usiposemea chochote unao uwezo wa kujiajiri...
Niliitafuta hii reply maisha yangu yote.Ukiwa na mtaji hata usiposemea chochote unao uwezo wa kujiajiri...
Hakuna kitu hiko Duniani[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53] maybe lkn kuna watu wana pesa still cant do business
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Hakuna [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]Hakuna kitu hiko Duniani
Watu Kama wewe ndio wanawafanya baadhi waone hasara kupeleka watoto Chuo Kikuu...Hii ndio Mbunge was Kahama alisema mnamchukua mwanangu akiwa mdogo ..mnanirudishia Ana digrii halafu mnamwambia ajiajri...waakati tayari Ana miaka 25 na hajitambui😆😆Hivi mtu aliye soma marketing course kwa kazi yoyote ile anaweza kujiajilije yeye kama yeye kwa kile alichojifunza chuoni au ability yake ya kufanya mambo according kwa knowledge yake
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nimekutana na mmoja hapa Posta kanipa kipeperushi cha JATU Inv.
So unajiajiri tu kutangaza Biashara au bidhaa mpya sokoni
Anlima mchicha hapo kwa wazazi wake: bada ya wiki anaaza kutangaza kwenye mahoteli na nyumba za watu, akivuna anauza wote.Hivi mtu aliye soma marketing course kwa kazi yoyote ile anaweza kujiajilije yeye kama yeye kwa kile alichojifunza chuoni au ability yake ya kufanya mambo according kwa knowledge yake.