I LOVE YOU DUCE
Member
- Mar 21, 2024
- 30
- 135
Hivi Kuna uwezekano, mtu alie soma shahada ya ualimu, akaomba nafasi ya afisa mtendaji na akapata kazi hiyo kupitia ajira portal au mfumo wowote wa serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uvivu soma qualifications zilizowekwa, hakuna jibu nje ya tangazo la kazi husika.
Wapi umeona Certificate au Diploma in Education hapo?.
Alafu hapo hapo kwenye Id yake kaandika I LOVE YOU DUCE...ujinga mtupu...Mpwayungu whr ar u?Wapi umeona Certificate au Diploma in Education hapo?.
Hivi tatizo ni mfumo wa elimu au aina ya graduates tulionao Tz.
Inasikitisha sana, juzi kuna mmoja nilikuwa namfanyia certification ya vyeti vyake akaniuliza Bro hivi na Transcript tuna upload?.Alafu hapo hapo kwenye Id yake kaandika I LOVE YOU DUCE...ujinga mtupu...Mpwayungu whr ar u?
Wacha mitaa iwafunze..Inasikitisha sana, juzi kuna mmoja nilikuwa namfanyia certification ya vyeti vyake akaniuliza Bro hivi na Transcript tuna upload?...
Noma sana, unakuta kijana smart mavazi alafu kichwani hakuna content zozote za maana.Wacha mitaa iwafunze..
Kizazi cha ku bet na kutegemea miujiza.Wapi umeona Certificate au Diploma in Education hapo?.
Hivi tatizo ni mfumo wa elimu au aina ya graduates tulionao Tz.
Wazee wanifanyie connection..?!..Vipi maswali ya interview ya Polisi nk..Huwa nachoka kabisa wao kila kitu ni kukalili tu kama walivyokuwa wanakalili mitihani inavyokuwa na maswali yake huko vyuoni.Sasa interview nayo wanaamini ina fomula maalumu pia; Usaili wa Mwalimu wa Hesabu mtu anajiandaa na fomula ya Kutafuta eneo la Pembe tatu?Inasikitisha sana, juzi kuna mmoja nilikuwa namfanyia certification ya vyeti vyake akaniuliza Bro hivi na Transcript tuna upload?.
Ikabidi nimuulize tangazo lenu umelisoma?.
Vijana wengi hasa graduates ni wazinguaji sana, hawana maarifa kabisa hadi mtu unajiuliza tatizo ni nini hasa maana kama ni mfumo wa elimu basi wote tungekuwa hivyo.
Vijana hawasomi na hawataki kujifunza, utakuta mtu tangu kamaliza chuo hajawahi kabisa kusoma kitabu ili ajifunze jambo lolote.
Hahahahaha yaani sio tu mfumo wa elimu ila hata neno lenyew graduateWapi umeona Certificate au Diploma in Education hapo?.
Hivi tatizo ni mfumo wa elimu au aina ya graduates tulionao Tz.
wewe ndio hopelss kabisaa yaniHuwez pata ww n mwalim tu mpk kufa kwako
Sawa omba bhas uwe mtendaji ule maisha ya utendajiwewe ndio hopelss kabisaa yani