Mtu aliyewasumbua majasusi wa Mossad kwa miaka zaidi ya 20 kufanikiwa kumuua

Mtu aliyewasumbua majasusi wa Mossad kwa miaka zaidi ya 20 kufanikiwa kumuua

No one is born evil,karibu habari zote tunazozisoma kuhusu chaos zinazotokea kwenye dunia hii asilimia kubwa chanzo chake ni USA,believe or not, I don't care.Ili kuweza kuelewa habari kama hizi unahitaji kuwa na uelewa mpana sana wa mambo mengi zaidi ya habari moja unayoisoma,vinginevyo unaweza kuishia kwenye wrong conclusion.
1.War crime
2.Healthy crime
3.Food crime
4.Money crime
5.Energy crime
Karibu matatizo yote makubwa kwenye mambo tajwa hapo juu chanzo chake ni USA.It is very long story indeed.If you see/hear anything that doesn't make sense,just follow the MONEY and you will get an answer.
 
hapa ingepatikana na picha yake stori ingenoga zaidi na zaidi
 
Imad_Mughniyah.jpg
huyo ndo mwenyewe Imad Mughniyah
 
mkuu hapa umetusimulia ile mikanda ya rambo ya kushinda majeshi ya nchi nzima akiwa peke yake tena akiwa na silaha kisu tu!!
 
tungependa sana kila anayeleta story alete kama hii sio kufamba famba tu, mtiririko mzur na hauchoshi!!! naomba apewe like za kutosha huyu mshkaj iwe fundisho pia kwa waleta mada wengine!!
 
Pitia hicho kitabu nilichoandika hapo juu, kimetoka 2012. na vengine vingi wengine watakwambia

Ndugu inabidi tuongeze bidii katika kushauri vijana kupenda kusoma vitabu kwani tunajifunza mengi sana. Kitabu nikizuri bado nakisoma hata kama ni kirefu nitakimaliza tu.

Hongera sana kwa kuweka hapa jamvini.
 
Ndugu inabidi tuongeze bidii katika kushauri vijana kupenda kusoma vitabu kwani tunajifunza mengi sana. Kitabu nikizuri bado nakisoma hata kama ni kirefu nitakimaliza tu.

Hongera sana kwa kuweka hapa jamvini.

kweli kabisa vijana tumekuwa hatupendi kabisa kusoma vitabu, vitabu vina mambo mengi ya kujifunza na vinatanua wigo wetu wa kufukiria, n.k Ahsante mimi nikija kupata familia ntajitahidi sana kwa watoto wangu. sasa wadodo zangu najitahidi kuwajengea mazingira haya.
 
sasa nyie mnaocopy tena hadithi nzima,ivi kwanin hamwelewi?
 
Pombe na wanawake vinaponza sana.Hapo watu wawili ambao walikua wagumu kupatikana ili wauawe lakini wameuawa katika sehemu ambayo ni ya kizembe sana.Kuna kitu cha kujifunza hapa (sio ugaidi).
 
Pombe na wanawake vinaponza sana.Hapo watu wawili ambao walikua wagumu kupatikana ili wauawe lakini wameuawa katika sehemu ambayo ni ya kizembe sana.Kuna kitu cha kujifunza hapa (sio ugaidi).

Samson na Delilah, Adam na Eva, sijui mshana jr atakamatika wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu inabidi tuongeze bidii katika kushauri vijana kupenda kusoma vitabu kwani tunajifunza mengi sana. Kitabu nikizuri bado nakisoma hata kama ni kirefu nitakimaliza tu.

Hongera sana kwa kuweka hapa jamvini.

Siku hizi wanasoma na kuangalia upuuzi mtupu kuanzia magazeti mpaka vitabu
 
Pombe na wanawake vinaponza sana.Hapo watu wawili ambao walikua wagumu kupatikana ili wauawe lakini wameuawa katika sehemu ambayo ni ya kizembe sana.Kuna kitu cha kujifunza hapa (sio ugaidi).

Nifah, nyinyi mumeumbwa kwasababu yetu. Ukiona hadi idara ya usalama imeamua kutumia mwanamke basi jua huyo mtu alishindikana kpatikana kwa njia nyingine. Hata mke anaweza kushilikishwa katika kusaidia mumewe akamatwe ila itategemea huyo mwanmke ana upendo wa kiasi gani na je anayachukuliaje hayo anayoyafanya mumewe.
 
Back
Top Bottom