BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Superwoman2 simuoni siku izi sijui kaleft,..akuaga lakn akija tumpige faini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu kama nyie ndio mmetupotezea mkuu Joseverest,mmemsema sana mpaka kaadimika Jf
People wana roho mbaya wanatak wabakigi wenyew umu,
Shangazi yangu ni mzuri sana ila wewe bila shaka ni mbaya sanaKama wewe uko hivyo hapo avatar je shangazi yako atakuwaje?
Za jioni ba ndugu?
Kwa nini watu wanaaga humu jf alafu unawaona online?au wanauzia watu account zao?au wanarithisha ndugu zao?
Shangazi ni baba sio kama baba vipi lakini nimependeza??Shangazi ni kama baba naona umefanana na shangazi yako kweli hapo mkuu!
Samahani kwa kukupotezea muda ukiona vipi usifungue uzi niliouleta mimi mkuu!