Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
Anaijua vzr sana ameandika kwa makusudi.Kama ni ile ya kodi inaitwa efd
yeaaah typin errorUnachanganya madesa mkuu TFDA wako pale external,
Uzi wako una content nzuri ila title sasa imeharibu uzi woteSerikali sasa hiv inalazimisha watu wa maroli nao wawe wana tfd machine kwa ajili ya kukata risiti ...
Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..
Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu
Kweli kabisa mkuu.Kwa sasa hivi mchawi wa mfanyabiashara ni RTA [emoji2]
Kwani hayo malori yanabeba madawa mkuu mpaka yawe na TFDA? Siku nyingine useme EFD. Ungana na wadau waliokushauri kuhusu hilo jina haaitwi TFDA, maana hata kama ni typing error hii ya kwako imepitiliza mkuu!!Serikali sasa hiv inalazimisha watu wa maroli nao wawe wana tfd machine kwa ajili ya kukata risiti ...
Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..
Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu
Na Lori moja bei gani!?...Sasa kuna kampuni inayo malori 72,kila lorry liwe EFD machine yake,?mashine moja inauzwa 800,000 yesu wangu.!!!!???
typin error mkuu bila shaka umeelewa madaKwani hayo malori yanabeba madawa mkuu mpaka yawe na TFDA? Siku nyingine useme EFD. Ungana na wadau waliokushauri kuhusu hilo jina haaitwi TFDA, maana hata kama ni typing error hii ya kwako imepitiliza mkuu!!
malori yanakamatwa mafinga wanadai efd machine mkuuEFD mchine si inatakiwa ikae kwenye principal office? Sasa utakuwa unatembea nayo kwani wewe ni bus kwamba utakuwa unawakatia watu humo njiani?
Hawa watu ni mataahira, yaani uchukue efd machine ya ofisini halafu ofisini pabakije sasa? Tuna shida kuongozwa na mataahira!!malori yanakamatwa mafinga wanadai efd machine mkuu