Morgan Fisherman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 1,819
- 2,134
Serikali sasa hiv inalazimisha watu wa maroli nao wawe wana tfd machine kwa ajili ya kukata risiti ...
Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..
Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu
Je, hii inawezekana vipi na kama mtu ana maroli zaid ya 2
Je, inatakiwa awe na TFDA machine ngapi? Na unaanzaje kumkatia mtu risit ilihali mzigo bado haujafika si ndo mwanzo wa kutiana hasara..
Serikali inajiangalia yenyewe bil kujali wananchi wapo kwenye hali huu ni uonevu wa hali ya juu