binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Category ya live performance kama ipo afu akashinda anayepiga playback uje hapa kutuuliza ni kwanini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisa hii ni obsessionHe is obsessed with Diamond
Mkuu umefafanua kila kitu,kazi kwao wanaoweweseka na king wetu tangu atangaze "eti sasa playback basi" kama yeye ndo wa kwanza na hawajawahi wengine kupiga live bandAsikuambie mtu Paula... playback haiepukiki na wala haitakuja kufutika unless aina ya utengenezaji wa muziki ibadilike. Na hii si kwa Tanzania tu bali hata kwenye mataifa mengine; na hata huko US bado mpaka kesho wapo watu kibao tu na matamasha kibao tu ambayo watu wanatumia playback kwahiyo ni kichekesho cha mwaka msanii yeyote ambae utengenezaji wa muziki wake unaanzia studio halafau akasema hatatumia tena playback! Na moja ya mijadala ya kimuziki duniani ambayo bado hadi leo haijapata consensus ni suala la which's which kati ya Playback na Live Performance! Kuna watu kibao ambao wanaamini aina fulani ya muziki ukifanya live performance unashindwa kuipata taste yake... na hii ni ile aina ya muziki ambayo huanzia studio na kwenda kwa mlaji!
hizi category za playback na live atakuwa anazitoa mama yako labda sio ktma
Asikuambie mtu Paula... playback haiepukiki na wala haitakuja kufutika unless aina ya utengenezaji wa muziki ibadilike. Na hii si kwa Tanzania tu bali hata kwenye mataifa mengine; na hata huko US bado mpaka kesho wapo watu kibao tu na matamasha kibao tu ambayo watu wanatumia playback kwahiyo ni kichekesho cha mwaka msanii yeyote ambae utengenezaji wa muziki wake unaanzia studio halafau akasema hatatumia tena playback! Na moja ya mijadala ya kimuziki duniani ambayo bado hadi leo haijapata consensus ni suala la which's which kati ya Playback na Live Performance! Kuna watu kibao ambao wanaamini aina fulani ya muziki ukifanya live performance unashindwa kuipata taste yake... na hii ni ile aina ya muziki ambayo huanzia studio na kwenda kwa mlaji!
Ajabu ya majirani wa Mzee Mcharo ni kwamba, utafikiri huyo Kiba ndie msanii wa kwanza kufanya live performance huku wakijisahaulisha ukweli kwamba kuna wengine wanamiliki hadi bendi na wasanii! Anyway, si mbaya nao wakifurahi manake tangu King aibue furaha kwa mashabiki wake baada ya kushinda Nani Mkali wa Radio One, hajawafurahisha tena mashabiki hadi wakaamua ku-download picha za jumba la makumbusho ya kale na kuita mjengo wa King!!!Category ya live performance kama ipo afu akashinda anayepiga playback uje hapa kutuuliza ni kwanini!
hizi category za playback na live atakuwa anazitoa mama yako labda sio ktma