Mtu anabebaje tuzo kwa kupiga ma playback?

Mtu anabebaje tuzo kwa kupiga ma playback?

Category ya live performance kama ipo afu akashinda anayepiga playback uje hapa kutuuliza ni kwanini!
 
Kama nyimbo ni nzuri je?Sababu mwanamuziki hapewi tuzo kwa kuimba nyimbo jukwaani anapewa kwa kutoa hit songs.
Wewe huna hata wimbo 1 kwenye Top 20 za clouds fm unategemea utashinda Kili music award kwa kutupigia live pale THAI VILLAGE kila Ijumaa?Utabakia kulalamika tuu Instagram.
 
Asikuambie mtu Paula... playback haiepukiki na wala haitakuja kufutika unless aina ya utengenezaji wa muziki ibadilike. Na hii si kwa Tanzania tu bali hata kwenye mataifa mengine; na hata huko US bado mpaka kesho wapo watu kibao tu na matamasha kibao tu ambayo watu wanatumia playback kwahiyo ni kichekesho cha mwaka msanii yeyote ambae utengenezaji wa muziki wake unaanzia studio halafau akasema hatatumia tena playback! Na moja ya mijadala ya kimuziki duniani ambayo bado hadi leo haijapata consensus ni suala la which's which kati ya Playback na Live Performance! Kuna watu kibao ambao wanaamini aina fulani ya muziki ukifanya live performance unashindwa kuipata taste yake... na hii ni ile aina ya muziki ambayo huanzia studio na kwenda kwa mlaji!
Mkuu umefafanua kila kitu,kazi kwao wanaoweweseka na king wetu tangu atangaze "eti sasa playback basi" kama yeye ndo wa kwanza na hawajawahi wengine kupiga live band
 
Nadhani alitaka kukufahamisha kuwa wewe ni mpuuzi. Nimetafsiri tu sihusiki hata kidogo mkuu Lukelo Sakafu
 
Asikuambie mtu Paula... playback haiepukiki na wala haitakuja kufutika unless aina ya utengenezaji wa muziki ibadilike. Na hii si kwa Tanzania tu bali hata kwenye mataifa mengine; na hata huko US bado mpaka kesho wapo watu kibao tu na matamasha kibao tu ambayo watu wanatumia playback kwahiyo ni kichekesho cha mwaka msanii yeyote ambae utengenezaji wa muziki wake unaanzia studio halafau akasema hatatumia tena playback! Na moja ya mijadala ya kimuziki duniani ambayo bado hadi leo haijapata consensus ni suala la which's which kati ya Playback na Live Performance! Kuna watu kibao ambao wanaamini aina fulani ya muziki ukifanya live performance unashindwa kuipata taste yake... na hii ni ile aina ya muziki ambayo huanzia studio na kwenda kwa mlaji!

asante kwa maelezo mazuri, mimi sio mtaalamu wa muziki lakini i can see it through live band ni ngumu, anyway lets see huwenda something could be done.
 
Category ya live performance kama ipo afu akashinda anayepiga playback uje hapa kutuuliza ni kwanini!
Ajabu ya majirani wa Mzee Mcharo ni kwamba, utafikiri huyo Kiba ndie msanii wa kwanza kufanya live performance huku wakijisahaulisha ukweli kwamba kuna wengine wanamiliki hadi bendi na wasanii! Anyway, si mbaya nao wakifurahi manake tangu King aibue furaha kwa mashabiki wake baada ya kushinda Nani Mkali wa Radio One, hajawafurahisha tena mashabiki hadi wakaamua ku-download picha za jumba la makumbusho ya kale na kuita mjengo wa King!!!
 
Back
Top Bottom