Nahirat
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 595
- 985
Zilikua tetesi kwamba ali commit suicide ila jama bado yupo hai mkuuKama miezi 3 au zaidi iliyopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilikua tetesi kwamba ali commit suicide ila jama bado yupo hai mkuuKama miezi 3 au zaidi iliyopita
Teh teh wabongo bhana, kaongea ukweli gani?Ulitaka aongee uongo?
Kesi zote za jinai zinasimamiwa na serikaliFamilia ya Kanumba sidhani kama ina uwezo wa kuifuta hii kesi. Ninavyojua kesi za hivi na za ubakaji zinakuwa serikali vs mtuhumiwa..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Halaf inaonesha huyu lulu hana mawasiliano mazuri na huyo mama,,ila chanzo cha bongo movie kufa ni Lulu kumuua Kanumba,,aisee kangefungwa hata miaka 20,roho zetu zisuuzike mashabiki wa Kanumba
Muongo pistorioua hajafaAnaitwa oscar pistorious kashakufa zamani
Pasi na social media, Lulu anakufa njaa. Hivi ile shule yake ya Engineering alimaliza?Mkuu hapo cha lulu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media ndio cha maana kuliko yote kwa lulu sema ndio hivyo ameshazoea maisha ya kujianika mitandaoni
Alikuwa Muigizaji, Mtunzi wa Maigizo. Muongoza maigizo. NimekukekewaKanumba bhana!
Mashahidi ktk kesi hii ni wanafamilia wa Kanumba. What if Wanafamilia wangepanga wasitokee Mahakamani? Jamhuri wangeendeshaje hii kesi?Familia ya Kanumba sidhani kama ina uwezo wa kuifuta hii kesi. Ninavyojua kesi za hivi na za ubakaji zinakuwa serikali vs mtuhumiwa..
Magogon kuna hiyo kozi?Pasi na social media, Lulu anakufa njaa. Hivi ile shule yake ya Engineering alimaliza?
Mmmh. Yule jamaa alishafariki?Anaitwa oscar pistorious kashakufa zamani
kufa kufaana vipi sasa hapo mkuu? au ulikuwa una wahi kumsukuma joseveret kwenye kiti chake
Hakuna. Lakini Luku mwenyewe alisema.Magogon kuna hiyo kozi?
Hahahahaha umenikumbusha mbali. Kuna mshkaji alikuwa anaandika facts fresh Sasa kesi anaandika unreported. Hahahahaha1. Where there is evidence of a fight it is not safe to infer malice aforethought. In this regard, it will always be safe to ground a conviction of manslaughter instead of murder.
2. Death resulting from a fight- see also Juma G. Timbulu v R, Criminal Appeal No. 27 of 1991 and Moses Chichi v R, [1994] TLR 222 on the issue.-
Mama si ameuza vx ya marehemu?hana wa kumlaumuBaada ya kutoka mahakamani amesikika akiulizwa mama una gari akasema akha tunapanda bajaji
Mmmm alifia gerezani ama?Kama miezi 3 au zaidi iliyopita