Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Nime cheki muda si mrefu zilikua ni taarifa fake,bado yupo haiMmmm alifia gerezani ama?
Hata kwa masanja pia jamaa ana mkwanja mrefu kinouma.....Usitudanganye aisee kuna wasanii wana hela kama mondi,vitu anavyofanya vinaonekana waziwazi wataka utudanganye kitoto hapa? hebu fatilia mikataba yao vizuri
Mama Lulu na utu uzima wote bado na mikorogo ngozi yake haijulikani rangi gani.Hawezi kuishi bila kiki na show off hata leo mahakamani kila mtu na lake
Mama lulu hana sauti kwa mwanawe ht kumshauri
Kama unasema wanapoteza Muda kwenda kusikiliza kesi kwanini unashauri waende kuomba mahakama ifute kesi,??? Ina maana na waliofungwa kwa kuwaua wapenzi wao nao waachiwe?Nafikiri familia ya Kanumba ina weza kuiomba mahakama kuifutilia mbali hiyo kesi....
Hii kesi ilivyo tokea na kesi zinazo husu mapenzi,Kama unasema wanapoteza Muda kwenda kusikiliza kesi kwanini unashauri waende kuomba mahakama ifute kesi,??? Ina maana na waliofungwa kwa kuwaua wapenzi wao nao waachiwe?