Mtu anapata wapi ujasiri wa kumchinja binadamu mwenzake kama kuku?

Mtu anapata wapi ujasiri wa kumchinja binadamu mwenzake kama kuku?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Screenshot_20230401-164601.jpg
 
Binadamu Ni hayawani tu,hata wewe ukichukuliwa ukapelekwa training ya kufanya ukatili wa namna hiyo mbona hiyo shughuli ya kuchinja itakuwa nyepesi tu kwako.
 
Haya mambo ya kujifunza kwa wazungu wa Ulaya yatatufikisha kwa shetani haraka sana.
 
Naona kuna kamchezo kanaendelea. Walianzia kanisani Geita, sasa wameingia msikitini Kahama. Kwa ninavyofahamu mmi, misikiti huwa hawakusanyi mapato makubwa sana ya sadaka kama huko makanisani. Kwahiyo sidhani kama motive ilikua kuiba sadaka!

Lakini pia, kama motive ingekua kuiba sadaka, basi kusingekua na haja ya kumchinja mlinzi. Maana kumchinja mtu inahitaji muda zaidi na ujasiri usio wa kawaida.

Nadhani kuna kitu kingine kabisa wanachokitarget hao wapuuzi. Walijua kuiba sadaka pekee haitatosha kulipa umaarufu tukio lao. Ndio maana wakaamua kufanya na hayo mauaji ya kikatili.

I hope watakamatwa na kuwajibishwa!
 
Temple kiswahili ni msikiti?
Yaani kuna watu wakiona neno msikiti au Muislam basi mada inabadilika kabisa

Ukatili wafanye waswahili tena wamechinja mwenzao kwenye sehemu ya Wahindi wanapoombea

Sasa badala ya kukemea ndugu yako asifanye ukatili hoja inageuzwa

Tujifunze kukemea au wote ni majambazi na majizi kama wanaoiba hela za kodi?
Inakera sana mtu anashindwa kukemea ushenzi kama huu
 
Au labda huyo mlinzi aliwatambua wauwaji!ila ngoja tuendelee kuunga dozi,hata kipindi kile mambo yalianza kama utani.
 
Naona kuna kamchezo kanaendelea. Walianzia kanisani Geita, sasa wameingia msikitini Kahama. Kwa ninavyofahamu mmi, misikiti huwa hawakusanyi mapato makubwa sana ya sadaka kama huko makanisani. Kwahiyo sidhani kama motive ilikua kuiba sadaka!

Lakini pia, kama motive ingekua kuiba sadaka, basi kusingekua na haja ya kumchinja mlinzi. Maana kumchinja mtu inahitaji muda zaidi na ujasiri usio wa kawaida.

Nadhani kuna kitu kingine kabisa wanachokitarget hao wapuuzi. Walijua kuiba sadaka pekee haitatosha kulipa umaarufu tukio lao. Ndio maana wakaamua kufanya na hayo mauaji ya kikatili.

I hope watakamatwa na kuwajibishwa!
Huo sio msikiti ni tempo za wahindi
 
Inna lillah wainah illahi rajioon
 
Kibaya zaidi hata hajakukera lolote,bali wao ndo walienda kwenye eneo lake
 
Au labda huyo mlinzi aliwatambua wauwaji!ila ngoja tuendelee kuunga dozi,hata kipindi kile mambo yalianza kama utani.
Kwenye temple lazima kutakuwa na cctv
Tuombe iwe hivyo ili wakamatwe
 
Back
Top Bottom