Mtu anapoitwa jina la kabila lake

Mtu anapoitwa jina la kabila lake

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
18,611
Reaction score
27,615
Imekuwa kawainda mtu fulani kuitwa jina la kabila lake au sehemu anayotoka na jina hilo kumkaa na kukubalika katika jamii anamoishi ugenini kufanya shughuli zake. Majina ambayo yamekuwa maarufu sana utasikia mtu akiitwa muha, mchaga na mpemba, akiwa na duka panaitwa kwa muha, kwa mchaga na kwa mpemba. Tanzania ina makabila mengi lakini ni hayo tu ndiyo yanayosikika watu wake wakienda kufanya biashara mbali na kwao. Labda wengine nao wanaitwa wanapokwenda ugenini kwa shughuli zao.
 
Imekuwa kawainda mtu fulani kuitwa jina la kabila lake au sehemu anayotoka na jina hilo kumkaa na kukubalika katika jamii anamoishi ugenini kufanya shughuli zake. Majina ambayo yamekuwa maarufu sana utasikia mtu akiitwa muha, mchaga na mpemba, akiwa na duka panaitwa kwa muha, kwa mchaga na kwa mpemba. Tanzania ina makabila mengi lakini ni hayo tu ndiyo yanayosikika watu wake wakienda kufanya biashara mbali na kwao. Labda wengine nao wanaitwa wanapokwenda ugenini kwa shughuli zao.
Mfano ni wewe mtoa mada mnyaturu wa Kinyeto
 
Mtaani ukabila unatumia kuimarisha ujirani mwema, mtandaoni ukabila unatumika kuvunjiana heshima.
 
Enzi za kupigania uhuru mitaa mingine ilijulikana kwa nasaba za watu walioishi hapo, kama vile uzunguni, uhindini na uswahilini, hili la uswahilini bado linatumika mpaka leo hasa mitaa ya jiji la Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom