The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kwetu hapa watu wanalilia uongozi na hata kwenda kwa waganga wa kienyeji ilimradi wapate uongozi, ni kwa maslahi yao.Asikwambie Mtu Uongozi ni kitu moja kigumu sana. Uongozi wa aina yoyote ile hata kama una ongoza watu 20 kuna challenges kibao lazima kichwa kiume.
Sasa unapokuka ngazi ya uraisi ndiyo balaa zaidi nywele zote kichwani zinaweza kuisha kwa kuwa na majukumu mengi.
Cha kushangaza mtu anakuwa Raisi ndiyo anapata mda wa kunawili na kuwa mtananshati believe me huyo mtu hafanyi kazi yake kwa uamakini. Kwa ufupi matatizo ya Nchi siyo kipaumbele chake Kabisa ni bora liende tu.
Mimi sijataja jina la mtu
Kwahiyo unamaanisha muuza bandari zetu? AuAsikwambie Mtu Uongozi ni kitu moja kigumu sana. Uongozi wa aina yoyote ile hata kama una ongoza watu 20 kuna challenges kibao lazima kichwa kiume.
Sasa unapokuka ngazi ya uraisi ndiyo balaa zaidi nywele zote kichwani zinaweza kuisha kwa kuwa na majukumu mengi.
Cha kushangaza mtu anakuwa Raisi ndiyo anapata mda wa kunawili na kuwa mtananshati believe me huyo mtu hafanyi kazi yake kwa uamakini. Kwa ufupi matatizo ya Nchi siyo kipaumbele chake Kabisa ni bora liende tu.
Mimi sijataja jina la mtu
Ndiyo nini hiyo?Asikwambie Mtu Uongozi ni kitu moja kigumu sana. Uongozi wa aina yoyote ile hata kama una ongoza watu 20 kuna challenges kibao lazima kichwa kiume.
Sasa unapokuka ngazi ya uraisi ndiyo balaa zaidi nywele zote kichwani zinaweza kuisha kwa kuwa na majukumu mengi.
Cha kushangaza mtu anakuwa Raisi ndiyo anapata mda wa kunawili na kuwa mtananshati believe me huyo mtu hafanyi kazi yake kwa uamakini. Kwa ufupi matatizo ya Nchi siyo kipaumbele chake Kabisa ni bora liende tu.
Mimi sijataja jina la mtu
NakaziaWeka picha ya uyo alieanza kunawili
Sure kipindi kile cha kikwete Mwigulu alipewa unaibu waziri wa fedha alifanya shereheKwetu hapa watu wanalilia uongozi na hata kwenda kwa waganga wa kienyeji ilimradi wapate uongozi, ni kwa maslahi yao.
We jizime data tu. Kama huelewi vileNdiyo nini hiyo?
Unataka kunigombanisha na Mods weweWeka picha ya uyo alieanza kunawili
Ndio ukweli hata akina Libibi nchini kwao wako hivyoAsikwambie Mtu Uongozi ni kitu moja kigumu sana. Uongozi wa aina yoyote ile hata kama una ongoza watu 20 kuna challenges kibao lazima kichwa kiume.
Sasa unapokuka ngazi ya uraisi ndiyo balaa zaidi nywele zote kichwani zinaweza kuisha kwa kuwa na majukumu mengi.
Cha kushangaza mtu anakuwa Raisi ndiyo anapata mda wa kunawili na kuwa mtananshati believe me huyo mtu hafanyi kazi yake kwa uamakini. Kwa ufupi matatizo ya Nchi siyo kipaumbele chake Kabisa ni bora liende tu.
Mimi sijataja jina la mtu