Mtu anayetaka kukutawala baada ya kukusaidia

Mtu anayetaka kukutawala baada ya kukusaidia

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Aug 26th, 024
Dar es Salaam, Tanzania
Saa 5:27 asubuhi

-------------------------------
Habarini madada, makaka, na wazee wenzangu!

Leo nivunje ukimya niongelee suala nyeti kidogo.

Umewahi kusaidiwa katika point ya maisha yako, na aliyekusaidia akataka uwe mtumwa wake?

Hiki kitu ni kansa mbaya sana.
Nilipomaliza chuo kikuu, mambo yangu fulani fulani hayakukaa sawa. Hivyo nilihitaji msaada fulani.

Nilisaidika lakini changamoto ikawa ni mimi kutawaliwa kimawazo na kifikra. Nikawa sina maamuzi.

Nikasita kufanya vitu vingi nikihofu 'atakwazika'. Nikashindwa kuishi maisha ya uhuru. Nikawa mfungwa aliye uraiani.

Ilikuwa ni ngumu lakini nilifanikiwa kuchukua maamuzi magumu. Nililazimika kuanza kubadilika.

Hapo nikaona rangi halisi za watu. Nikatambua watu ni nani!
Ukweli huu kuhusu watu uliniumiza sana.
Watu! Watu! Watu!

Kwako wewe, ulijinasua vipi na nyavu hii 'hatari'?

Ulifanya nini baada ya kugundua msaada ulioupata unakufanya uwe mfungwa? Uliona aibu?

Ulikabiliana vipi na maneno kama vile "binadamu hawana shukrani", " ila nilikusaidia wewe", "watu hawasaidiki" na mengine mengi ya kunyong'onyesha?
 
Basi huyo aliyetaka kukufanya Mtumwa baada ya kukusaidia,basi baada ya wewe kujinasua na kusimamia misimamo yako utakuwa ulimkwaza,

Huenda alikutangaza na kukuita huna shukrani

Watu Hawa wapo wengi atakuita una KIBURI,MAJIVUNO NA mwenye DHARAU kisa tu ulijitambua na kuchukua hatua
 
Ndiyo. Niliitwa majina yote ya namna hiyo, na mengine mabaya hayasemeki hata hapa.
Basi huyo aliyetaka kukufanya Mtumwa baada ya kukusaidia,basi baada ya wewe kujinasua na kusimamia misimamo yako utakuwa ulimkwaza,

Huenda alikutangaza na kukuita huna shukrani

Watu Hawa wapo wengi atakuita una KIBURI,MAJIVUNO NA mwenye DHARAU kisa tu ulijitambua na kuchukua l
 
Wengi wenu tukiwasaidia huwa mnaenda kinyume na makubaliano yetu.

Mfano umekuja kuomba mtaji milion 40, na tunakubaliana utakua unanipa 20% ya faida kila
Mwezi. Na kwa kuwa una shida unakubali kiroho safi.

Cha ajabu ukishatusua unakiuka makubaliano, hutaki kutoa hio 20% hasa biashara ikishatiki ukianza kula faida unaanza kusema nikurudishie 40m yako (kumbuka makubaliano haikua mkopo ilikua 20% ya faida)

Hapo ndipo mnaanzaga maneno maneno sana. Ooh anani control, haniachii uhuru, wakati kipindi unasota unakuja kuomba msaada ulikua unalialia

Imenitokea mara nyingi, siku hizi sisaidii watu, kila mtu ashinde mechi zake
 
Aug 26th, 024
Dar es Salaam, Tanzania
Saa 5:27 asubuhi

-------------------------------
Habarini madada, makaka, na wazee wenzangu!

Leo nivunje ukimya niongelee suala nyeti kidogo.

Umewahi kusaidiwa katika point ya maisha yako, na aliyekusaidia akataka uwe mtumwa wake?

Hiki kitu ni kansa mbaya sana.
Nilipomaliza chuo kikuu, mambo yangu fulani fulani hayakukaa sawa. Hivyo nilihitaji msaada fulani.

Nilisaidika lakini changamoto ikawa ni mimi kutawaliwa kimawazo na kifikra. Nikawa sina maamuzi.

Nikasita kufanya vitu vingi nikihofu 'atakwazika'. Nikashindwa kuishi maisha ya uhuru. Nikawa mfungwa aliye uraiani.

Ilikuwa ni ngumu lakini nilifanikiwa kuchukua maamuzi magumu. Nililazimika kuanza kubadilika.

Hapo nikaona rangi halisi za watu. Nikatambua watu ni nani!
Ukweli huu kuhusu watu uliniumiza sana.
Watu! Watu! Watu!

Kwako wewe, ulijinasua vipi na nyavu hii 'hatari'?

Ulifanya nini baada ya kugundua msaada ulioupata unakufanya uwe mfungwa? Uliona aibu?

Ulikabiliana vipi na maneno kama vile "binadamu hawana shukrani", " ila nilikusaidia wewe", "watu hawasaidiki" na mengine mengi ya kunyong'onyesha?
Wanaokusaidia wanapenda ufanikiwe ila sio kuwazidi wao, alinisaidia jamaa ila mpk kesho hayupo katika historia ya watu naowatukuza. Niliondoka mpk leo.
 
Be careful who you turn to for help… If you ask the right person, it's beautiful. If you ask the wrong one, it's like bleeding next to a shark
 
Wengi wenu tukiwasaidia huwa mnaenda kinyume na makubaliano yetu.

Mfano umekuja kuomba mtaji milion 40, na tunakubaliana utakua unanipa 20% ya faida kila
Mwezi. Na kwa kuwa una shida unakubali kiroho safi.

Cha ajabu ukishatusua unakiuka makubaliano, hutaki kutoa hio 20% hasa biashara ikishatiki ukianza kula faida unaanza kusema nikurudishie 40m yako (kumbuka makubaliano haikua mkopo ilikua 20% ya faida)

Hapo ndipo mnaanzaga maneno maneno sana. Ooh anani control, haniachii uhuru, wakati kipindi unasota unakuja kuomba msaada ulikua unalialia

Imenitokea mara nyingi, siku hizi sisaidii watu, kila mtu ashinde mechi zake
😁😁😁😁
 
Pesa za msaada zina gharama sana hii inatukuta wengi yaani ukisaidiwa jambo fulani na mtu ambae sii baba au mama yako lazima upitie utumwa fulani na lawama kwa yule aliekusaidia.
How do We dig ourselves out of this situation?
 
Pesa za msaada zina gharama sana hii inatukuta wengi yaani ukisaidiwa jambo fulani na mtu ambae sii baba au mama yako lazima upitie utumwa fulani na lawama kwa yule aliekusaidia.
Ni tatizo sana na linaharibu maisha ya vijana sana msaada afu mtu anataka uwe mtumwa wake ufanye anachotaka ukimshauri tatizo hii ilinikuta asee nikisemwa kila aina ya ubaya.
 
Ulikabiliana vipi na maneno kama vile "binadamu hawana shukrani", " ila nilikusaidia wewe", "watu hawasaidiki" na mengine mengi ya kunyong'onyesha?
Mkuu swala la MSAADA lina pande mbili. Mtoaji na Mpokeaji wote huwa wanalalamika.
ILA Mara nyingi, MASIKINI (msaidiwa) ndio huwa tatizo.

Ni ukweli uliowazi kuwa "Binadamu wengi hawana Shukrani".

USHAURI.
Njia pekee ya kukabiliana na hilo ni kujifanyia Sefl assesment (Kaa jitafakari), unaweza pia ukawa ni kweli huna shukrani na unatakiwa kubadilika. Otherwise ukijiona uko sawa basi endelea na harakati zako kama kawaida bila kuzingatia maneno ya hao waliokusaidia.
 
Pesa za msaada zina gharama sana hii inatukuta wengi yaani ukisaidiwa jambo fulani na mtu ambae sii baba au mama yako lazima upitie utumwa fulani na lawama kwa yule aliekusaidia.
Maisha ni mapambano, hata pesa za msaada zikija wwe chukua,alafu utajua huko mbele unapambanaje,angalau utakua umesogeza siku za kuishi!!
 
Wengi wenu tukiwasaidia huwa mnaenda kinyume na makubaliano yetu.

Mfano umekuja kuomba mtaji milion 40, na tunakubaliana utakua unanipa 20% ya faida kila
Mwezi. Na kwa kuwa una shida unakubali kiroho safi.

Cha ajabu ukishatusua unakiuka makubaliano, hutaki kutoa hio 20% hasa biashara ikishatiki ukianza kula faida unaanza kusema nikurudishie 40m yako (kumbuka makubaliano haikua mkopo ilikua 20% ya faida)

Hapo ndipo mnaanzaga maneno maneno sana. Ooh anani control, haniachii uhuru, wakati kipindi unasota unakuja kuomba msaada ulikua unalialia

Imenitokea mara nyingi, siku hizi sisaidii watu, kila mtu ashinde mechi zake
Ndg yangu usichoke kusaidiwa watu,maana hujui siku wala saa,mmoja anaweza chomoka juu kibiashara na kesho akakulinda! Ya Mungu mengi!!
 
Back
Top Bottom