Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
huna maarifa, hujawah kufanya biashara yoyoteBiashara kichaa huwezi kuweka milion 200 kwenye uchafu wa bajaji utakua huna akili timamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna maarifa, hujawah kufanya biashara yoyoteBiashara kichaa huwezi kuweka milion 200 kwenye uchafu wa bajaji utakua huna akili timamu
Kelele za nini unaonyesha wewe ndio mwanamke onyesha hata million Moja kwenye account Yako ya simu usipige kelele nyingi onyesha million 1 tu kama huna ujue we shoga unapiga kelele tuWanawake mna matatizo kweli?
Yaani Mimi kidume muda wa kuweka pesa kwenye akaunti za Vikoba mtandaoni natoa wapi?,niache kuweka pesa benki Kwa ajili ya familia yangu niweke kwenye akaunti ya Vikoba ili nikuonyeshe wewe!,Halafu nikikuonyesha napata faida gani?
Wanawake mna matatizo kweli!
Kabla hazijapanda bei zililipaYaani Kuna watu akili kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela za mashamba ya urithi nyumbani kwenu unatarajia hii biashara kichaa ikunufaishe aisee kweli washamba mnaotoka kijijini na pesa za urithi wa mashamba mtaendelea kukumbatia umasikini milele?
nilijua tu hii ni saa mbovuMpumbavu mama yako
ukiwa huna hela ni kawaida kuwa na hasira sana, kinachotakiwa upambane upate pesa au uje uniambie nikikupa 10 utafanyia biashara gan ndan ya mwaka irudi, ili nikusaidie mtaji, sawa dogoMpumbavu mama yako
Ukiondoa madalali, matapeli, Malaya, mafisadi na biashara ya unga biashara zingine zote huwa zina faida ndogo ndogo ambayo kwa macho ya kijima mtu hawezi kuiona faida.Hizo ni biashara za watu wavivu wasiotaka kuwajibika, ukiwakuta huko makazini wanavyojisifu utaskia
" Nina bajaj yangu nimempa kijana kwa week napata 140k yangu nna wasiwasi gani "
[emoji3][emoji3][emoji3]
We mzima unamjibu saa mbovu hujioni kama hujielewinilijua tu hii ni saa mbovu
Hiyo ni biashara kichaaMimi ni huhanga wa biashara ya bajaji ilibakia kidogo nipate madam kesi maana kila dereva ni kichaa wote wamesha fundishana ujinga
Sijaelewa hapo huyo madam kesi sasa anahusikaje hapo?Mimi ni huhanga wa biashara ya bajaji ilibakia kidogo nipate madam kesi maana kila dereva ni kichaa wote wamesha fundishana ujinga
Labda ndio alikuwa anampuna rejeshoSijaelewa hapo huyo madam kesi sasa anahusikaje hapo?
kama juha na wewe. Soma uelewe.Akili zenu zina shida! Ina maana huyo anayepeleka rejesho habikiwi na kitu mkononi?
Ila wewe unayeshangaa biashara ya Bajaji akili yako iko sawa!? JF kungekuwa na utaratibu wa kuwapima akili kabla ya kujiungaAkili Yako kaiflash iwe mpya
Na dar inaelekea huko...itakuwa kama miji ya india soon....Ooooh,always nunua kitu kinachopanda thamani sio kinachoshuka,hasa wafanya kazi kwakua huna chakupoteza zaidi ya kuwekeza,ila kuna wazee wa bet hua huwaambii kitu kuna miji TZ ina bajaji kuliko public transport
Na zinabidi ziendelee kuwa ghali. Ni ujinga miji mikubwa kama Dar kutumia bajaji kama usafiri wa ummaBajaJ zimekuwa ghali mno na sokoni zimekuwa nyingi sana
hicho kifaa kwa mleta uzi kingejam kama sio kulipukaIla wewe unayeshangaa biashara ya Bajaji akili yako iko sawa!? JF kungekuwa na utaratibu wa kuwapima akili kabla ya kujiunga