Mtu anayetumia ARV kwa muda mrefu virusi huwa havionekani kwenye vipimo vidogo?

Ndio na ukipima kwa kutumia blood serum havitaonesha reaction ya bar mbili.

Pili hatoweza kukuambukiza virusi so usiogope, sababu viko dormant akiacha kumeza vinaanza kuwa active na kuanza kujizalisha.
 
Ndio na ukipima kwa kutumia blood serum havitaonesha reaction ya bar mbili.

Pili hato weza kukuambukiza virusi koo usiogope, sbb viko dormant akiacha kumeza vinaanza kuwa active na kuanza kujizalisha
Unaweza kuchukua tone la damu la victim wa HIV nakuliweka kwenye kidonda chako?
 
Ndio na ukipima kwa kutumia blood serum havitaonesha reaction ya bar mbili.

Pili hato weza kukuambukiza virusi koo usiogope, sbb viko dormant akiacha kumeza vinaanza kuwa active na kuanza kujizalisha
MTU akiwa anatumia dawa virus vinaondoka katika mfumo wa damu au vinapungukiwa nguvu yake nakushindwa kufanya kazi in active way?

Kipi ni kipi hapo?
 
Unaweza kuchukua tone la damu la victim wa HIV nakuliweka kwenye kidonda chako?
Sayansi inahitaji research, koo hapa sijajua mwanangu ila virals load inakuwa ndogo sana kwenye damu, si wajua hawa viumbe ni rNA
 
Si kweli inashuka hadi moja lakini sio zero. Kwa hiyo ukipima bado vinaonekana.
 
Sayansi inahitaji research, koo hapa sijajua mwanangu ila virals load inakuwa ndogo sana kwenye damu, si wajua hawa viumbe ni rNA
Nachojua Mimi ARV haziondoi virus kwenye damu bali zinavubaza/fifisha uwezo wa HIV kufanyakazi. Kwahio damu yenye HIV haiwezi kuwa clean kwasababu MTU anameza HIV.
 
Ila nachojua kuhusu uwezo wa fast test. Hivi vipimo vinaweza kushindwa kutoa majibu clear pale ambapo MTU amepata maambukizi ndani ya muda mfupi kabla ya kupima.

Napo ktk hali hio unashauriwa kujiridhisha kupima tena baada ya muda wa miezi mitatu. Kupisha discovery period.
 
Yote majibu vitu kama hivi huwezi pata uhakika asilimia 100 mpaka research, kwanini ukimpima kwa SD BIOLIN, au UN GOLD kwa nini havionekani, Mpaka utumie kipimo cha virals load count.
 
Hakuna kitu Kama hicho maana kinachosomeka kwenye kipimo ni antibodies dhidi ya Virusi na hubaki milele... Amekupiga kamba.
 
Yale Yale ukinywa coca afu ukaenda kupima kipimo kitasoma Negative hata Kama unao[emoji16]
 
Joanah "Joanah, post: 42138992, member: 380996"]Duh!so far hili ni moja ya maajabu makubwa sana kwa huu mwaka 2022

Natarajia kuona maajabu mengi zaidi[/QUOTE]Joanah
 
Niwambie kitu,

Mnadanganyanya sana kwenye huu uzi.
 
hiyo ni kweli kabisa wala si uongo
 
Watu mnatiana kamba sana kweli elimu inahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…