Mtu anayetumia mashoto au malia kitaamu nini kinasababisha!!!

halafu naskia wanaotumia mashoto huwa ni noma kwa namba

Haahahahah..., unanikumbusha 2[SUP]x[/SUP]=4X, mbona itakuwa balaaa..., Nashukuru sana mkali wangu.
 

Kula An kusalimiana hizo ni tabia.. Na tabia hujengwa na mazingira.. Mzoeshe kula na mkono wa kulia kama unapenda, na hiyo iwr pale atakapotumia kijiko pekee au umma pekee (lakini kwa matumizi ya kisu na umma anaruhusiwa kutumia mkono wake wa kushoto), kusalimiana mfundishe pia..
Mimi ni lefthanded, nikiwa mbele ya watu naweza kula kwa mkono wa kulia japo kwa tabu kidogo(nimejifunza kwa kuona watu. - mazingira.) lakini kusalimiana ni automaticcaly kulia, mama alinifunza sana.. So unaweza mfundisha hayo.. Lakini mengine mwachie mkono wake..

Narudia tena hiyo ni zawadi adimu umepewa, you should be proud of yo kid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…