Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
MTU MBINAFSI MWENYE KUJIPENDA PEKEAKE(NARCISSIST)
Narcissist ni mtu ambaye ana tabia ya kujipenda kupita kiasi na kujiweka mbele ya wengine. Watu hawa mara nyingi wana mawazo ya juu kuhusu nafsi zao, wanahitaji kupewa sifa nyingi, na wanaweza kuwa na shida katika kuelewa hisia za wengine.
Katika saikolojia, narcissism inaweza kuwa na viwango tofauti, na kuna aina mbili kuu: 😷
1. Narcissism ya Kijamii: Hii inahusisha tabia za kujiweka mbele katika mazingira ya kijamii, kama vile kutafuta umaarufu au kutaka kuonekana bora kuliko wengine.😵😵
2. Narcissism ya Kliniki: Hii ni hali ya kiafya ambapo mtu anaweza kuwa na ugonjwa wa narcissistic personality disorder (NPD), ambao unajumuisha sifa kama kutokuwa na huruma, kudharau wengine, na kuwa na hisia za ukuu.
Ni muhimu kuelewa kwamba narcissism inaweza kuathiri mahusiano na watu wengine, kwani watu hawa mara nyingi hawana uwezo wa kuunda uhusiano wa kweli nao😎😎
Kuhusu Narcissus
Nilisoma katika story za Kigiriki,nikajifunza kwamba katika miaka ya nyuma sana kuna Bwana mdogo mmoja aliitwa Narcissus.
Siku moja aliiona taswira(reflection) yake,ndani ya maji ya kwenye kidimbwi.
Alipokwisha kujiona ndani ya yale maji,alikamatwa na kuvutiwa na jinsi alivyomzuri na wa kuvutia watu.😎😎
Aliendelea kujitazama kisha akapoteza uwiano(balance).
Kisha akatumbukia ndani ya hilo dimbwi...🥸
Nakuanza kuteseka kisha kufa maji🥺🥺🥺
Ila mahala pale alipofia palikauka🤪🥵
Nakisha pakaota ua zuri Kama Narcissus🥸
Likaitwa ua Narcissus (Narcissus flower)🤨
Ua hilo lilitambuliwa kua na lakuvutia na harufu nzuri🤬🥸
Lakini lilitengwa kwa kua ni ua lenye sumu kali.
Maana maua mengine yaliyoota kando yake yake yalipata shida katika ukuaji wake.
Yalipata tabu katika mionekano yao.
Mwishowe yalikufa kabisa...🧐😪😫
Kwahio tabia mbaya na isiyovutia wengine,tabia ya kujiona ilipatiwa jina
Narcissist kutokana na huyo bwana mdogo.😪
LEO HII
Tunaweza kua tumevutiwa na watu,hata kutamani kuingia nao katika
Mahusiano🙄
Lakini sio watu sahihi kwetu,hao ni sumu kali kwanini?
Wataua utu wako.
Wataua namna yako ya kujiamini🤐
Brother : kuna mwanamke uko nae kwenye mahusiano,wewe
Umempa hisia na upendo lakini hauoni,wala kuuthamini Bali
Atakachokifanya ni kujitazama yeye,😇😇
Anavaaje,
Anasifiwa vipi na wanaume wengine😯🤐 au anajiona ni jinsi gani wanawake wengine wanamwonea wivu kwa umbo na uzuri wake🤐😪😥
yaani taswira yake inamgandisha fikra zake,hatasogea hatua zozote zaidi ya kufia kwenye hilo dimbwi la kujiona yeye tu🤐😪
Ni mtu,asiyeogopa hata kukujibu,,kwamba anatongozwa na wanaume wengi...
Ili tu kuua ule utu na heshima yako binafsi...
Bro: kuendelea kua na mwanamke wa namna hio,ni kujiangamiza mwenyewe.😪
My SISTER
Kama uko na mwanaume ambaye,fikira zake ni jinsi ambavyo kilo chake kinamdanganya,
Kwamba yeye ni kijana mtanashati(handsome)😫
kwamba anaweza kua na mwanamke amtakaye😜 anapewa sifa nyingi,
AKipost na kujionyesha kwa jamii hana nia nyingine zaidi ya kuonekana yeye ni bora....😫😪
sista kaa mbali na hio kenge itakuua kwa presha..🤐😥
HITIMISHO.
Usiamshe hisia za kujiona ndani yako.
Maana hizo hisia za kujiona,zina rafiki yake anaitwa KIBURI
Huyo akishajitokeza tu,
Ndugu yangu
Anguko lako ujue limefikia tamati.
Ahsante.
#philosophyoflife #foryouシpage #KnowledgeIsPower
Content created by : Dogoli kinyamkela
Narcissist ni mtu ambaye ana tabia ya kujipenda kupita kiasi na kujiweka mbele ya wengine. Watu hawa mara nyingi wana mawazo ya juu kuhusu nafsi zao, wanahitaji kupewa sifa nyingi, na wanaweza kuwa na shida katika kuelewa hisia za wengine.
Katika saikolojia, narcissism inaweza kuwa na viwango tofauti, na kuna aina mbili kuu: 😷
1. Narcissism ya Kijamii: Hii inahusisha tabia za kujiweka mbele katika mazingira ya kijamii, kama vile kutafuta umaarufu au kutaka kuonekana bora kuliko wengine.😵😵
2. Narcissism ya Kliniki: Hii ni hali ya kiafya ambapo mtu anaweza kuwa na ugonjwa wa narcissistic personality disorder (NPD), ambao unajumuisha sifa kama kutokuwa na huruma, kudharau wengine, na kuwa na hisia za ukuu.
Ni muhimu kuelewa kwamba narcissism inaweza kuathiri mahusiano na watu wengine, kwani watu hawa mara nyingi hawana uwezo wa kuunda uhusiano wa kweli nao😎😎
Kuhusu Narcissus
Nilisoma katika story za Kigiriki,nikajifunza kwamba katika miaka ya nyuma sana kuna Bwana mdogo mmoja aliitwa Narcissus.
Siku moja aliiona taswira(reflection) yake,ndani ya maji ya kwenye kidimbwi.
Alipokwisha kujiona ndani ya yale maji,alikamatwa na kuvutiwa na jinsi alivyomzuri na wa kuvutia watu.😎😎
Aliendelea kujitazama kisha akapoteza uwiano(balance).
Kisha akatumbukia ndani ya hilo dimbwi...🥸
Nakuanza kuteseka kisha kufa maji🥺🥺🥺
Ila mahala pale alipofia palikauka🤪🥵
Nakisha pakaota ua zuri Kama Narcissus🥸
Likaitwa ua Narcissus (Narcissus flower)🤨
Ua hilo lilitambuliwa kua na lakuvutia na harufu nzuri🤬🥸
Lakini lilitengwa kwa kua ni ua lenye sumu kali.
Maana maua mengine yaliyoota kando yake yake yalipata shida katika ukuaji wake.
Yalipata tabu katika mionekano yao.
Mwishowe yalikufa kabisa...🧐😪😫
Kwahio tabia mbaya na isiyovutia wengine,tabia ya kujiona ilipatiwa jina
Narcissist kutokana na huyo bwana mdogo.😪
LEO HII
Tunaweza kua tumevutiwa na watu,hata kutamani kuingia nao katika
Mahusiano🙄
Lakini sio watu sahihi kwetu,hao ni sumu kali kwanini?
Wataua utu wako.
Wataua namna yako ya kujiamini🤐
Brother : kuna mwanamke uko nae kwenye mahusiano,wewe
Umempa hisia na upendo lakini hauoni,wala kuuthamini Bali
Atakachokifanya ni kujitazama yeye,😇😇
Anavaaje,
Anasifiwa vipi na wanaume wengine😯🤐 au anajiona ni jinsi gani wanawake wengine wanamwonea wivu kwa umbo na uzuri wake🤐😪😥
yaani taswira yake inamgandisha fikra zake,hatasogea hatua zozote zaidi ya kufia kwenye hilo dimbwi la kujiona yeye tu🤐😪
Ni mtu,asiyeogopa hata kukujibu,,kwamba anatongozwa na wanaume wengi...
Ili tu kuua ule utu na heshima yako binafsi...
Bro: kuendelea kua na mwanamke wa namna hio,ni kujiangamiza mwenyewe.😪
My SISTER
Kama uko na mwanaume ambaye,fikira zake ni jinsi ambavyo kilo chake kinamdanganya,
Kwamba yeye ni kijana mtanashati(handsome)😫
kwamba anaweza kua na mwanamke amtakaye😜 anapewa sifa nyingi,
AKipost na kujionyesha kwa jamii hana nia nyingine zaidi ya kuonekana yeye ni bora....😫😪
sista kaa mbali na hio kenge itakuua kwa presha..🤐😥
HITIMISHO.
Usiamshe hisia za kujiona ndani yako.
Maana hizo hisia za kujiona,zina rafiki yake anaitwa KIBURI
Huyo akishajitokeza tu,
Ndugu yangu
Anguko lako ujue limefikia tamati.
Ahsante.
#philosophyoflife #foryouシpage #KnowledgeIsPower
Content created by : Dogoli kinyamkela