Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kwa wale mliofuatilia press ya Manara, aisee mtu huyu ni mjinga sana, ameongea mambo meeeengi, sijaona facts hata moja.
Sana sana ni kutaka kugombanisha TFF na wananchi, kuleta uchochezi na kuharibu mpira, muda si mrefu hata yanga watamchoka, ni suala la muda tu, hivi mtu mwenye akili unaweza kumtetea mzembe huyu kweli.
Sana sana ni kutaka kugombanisha TFF na wananchi, kuleta uchochezi na kuharibu mpira, muda si mrefu hata yanga watamchoka, ni suala la muda tu, hivi mtu mwenye akili unaweza kumtetea mzembe huyu kweli.