3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Kwamba mna vinyesi mkachambe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mna vinyesi mkachambe?
Oscar Oscar ni mchicha mwiba
Amechafua Hali Ya Hewa Pale YangaYanga wenye akili timamu tangu awali walimkataa huyo
Ng'anduKwamba mna vinyesi mkachambe?
Manara alipokuwa Simba alikuwa hivihivi, Yanga wakawa wanalalamika sana, Simba wakawa wanachekelea tu. Manara alipokwenda Yanga, Simba waliokuwa wanamchekelea sasa wanalia, huku Yanga wakichekelea, ila Manara bado ni yuleyule. Tatizo wote tunaompenda na kumchukia Manara hatuna nia nzuri ya kujenga, tunachagua pande kutokana na ushabiki wetu wa Simba na Yanga. Hakuna mwenye nia nzuri.Kwa wale mliofuatilia press ya Manara, aisee mtu huyu ni mjinga sana, ameongea mambo meeeengi, sijaona facts hata moja.
Sana sana ni kutaka kugombanisha TFF na wananchi, kuleta uchochezi na kuharibu mpira, muda si mrefu hata yanga watamchoka, ni suala la muda tu, hivi mtu mwenye akili unaweza kumtetea mzembe huyu kweli.
Huyu nae tangu aende ulaya kupuruswa kitobo kawa km kidampa wa vikindu, mxxxieeew atulie hasira za kukopwa tako ndo kila mtu, aliliwa bureee na mzungu, si kuzidi ulimbukeni alidhan wazungu ni hamnazo, ndo maana aliyeenda nae akamuacha ayavagae kivyake.
Huyu amewaumiza Wengi Kwa Jinsi Mungu alivyowaumba.Ni upumbavu wa hali ya juu kumwita Mr.Manara kwa jinsi ALLAH alivyomuumba,why why umpire Albino?,jamaa wewe inaonyesha una ukatili wa hali ya juu,wakati watanzania wanapambana kuondoa stigma ya ualibino wewe ndio unachochea moto,sijui hata familia yako ikoje ...au ndio unatuletea na kulea family ukiingia tu nyumbani watoto wote wanakimbilia uvunguni mwa vitanda vyao
Ulichoona cha màana ni kukashifu ulemavu wake? Sasa wewe na Karia mna tofauti gani?
Hapo nimemtaja mtu mm, we bwege nnUngekua na akili usinge husisha ulemavu wake na wewe unaingia kwenye hilo kundi la wajinga
Hujapata kuona tangu uzaliwe kweli wewe ni mjingaKwa wale mliofuatilia press ya Manara, aisee mtu huyu ni mjinga sana, ameongea mambo meeeengi, sijaona facts hata moja.
Sana sana ni kutaka kugombanisha TFF na wananchi, kuleta uchochezi na kuharibu mpira, muda si mrefu hata yanga watamchoka, ni suala la muda tu, hivi mtu mwenye akili unaweza kumtetea mzembe huyu kweli.
Huwezi ona fact kwa kuwa usha chagua upandeKwa wale mliofuatilia press ya Manara, aisee mtu huyu ni mjinga sana, ameongea mambo meeeengi, sijaona facts hata moja.
Sana sana ni kutaka kugombanisha TFF na wananchi, kuleta uchochezi na kuharibu mpira, muda si mrefu hata yanga watamchoka, ni suala la muda tu, hivi mtu mwenye akili unaweza kumtetea mzembe huyu kweli.