Mtu mmoja kanitumia msg Whatsapp jana ananiambia alikuwa baunsa katika disco ya Mbowe

Mtu mmoja kanitumia msg Whatsapp jana ananiambia alikuwa baunsa katika disco ya Mbowe

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
 
Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
Aisee ulivyoandika hapa...nimekufananisha na rafiki yangu muhindi anaitwa Nish,,,,,
 
Wewe uko upande upi?
Anauliza niko upande upi; Mbowe au Lissu?
Inakumbusha yule mdada,kada wa CCM, tulikuwa tunaongea Vingunguti, anasema,"Kuna CCM A na CCM B."
Baadaye,baada ya mazungumzo, alipokuwa anaondoka kutoka kwenye genge,nikamkimbilia katika giza kumuuliza anieleze ni nini alichokuwa anasema kuhusu CCM A na CCM B.
Akasema,"Kabla sijakueleza, niambie,wewe ni CCM A au CCM B?'
 
Anauliza niko upande upi; Mbowe au Lissu?
Inakumbusha yule mdada,kada wa CCM, tulikuwa tunaongea Vingunguti, anasema,"Kuna CCM A na CCM B."
Baadaye,baada ya mazungumzo, alipokuwa anaondoka kutoka kwenye genge,nikamkimbilia katika giza kumuuliza anieleze ni nini alichokuwa anasema kuhusu CCM A na CCM B.
Akasema,"Kabla sijakueleza, niambie,wewe ni CCM A au CCM B?'
Mh, is the dish yumbadi or what?
 
Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
Enzi hizo tunakula Totoz na Ukimwi haukuwepo
 
Anauliza niko upande upi; Mbowe au Lissu?
Inakumbusha yule mdada,kada wa CCM, tulikuwa tunaongea Vingunguti, anasema,"Kuna CCM A na CCM B."
Baadaye,baada ya mazungumzo, alipokuwa anaondoka kutoka kwenye genge,nikamkimbilia katika giza kumuuliza anieleze ni nini alichokuwa anasema kuhusu CCM A na CCM B.
Akasema,"Kabla sijakueleza, niambie,wewe ni CCM A au CCM B?'
😅😅
 
Andrew Homeboy, Kwa Nini mkuu wa wilaya alikufukuza butiama? Wakati wewe ni mtoto wa muasisi wa taifa hili
 
Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
Watanzania wengi akili zao ni mbovu sana. Viongozi wakubwa karibu wote hapa Tanzania ni watu ambao hata hawajawahi kufunga kuku au hata kuwa na kiosk. Hawa ndio tunawapa uwaziri wa fedha, kilimo au biashara. Tunategemea nini?!

Hivi kwa Mbowe kuwa na biashara yake kama alivyofanya ambayo ni halali na imemfanya kuwa tajiri ni jambo la kushangaza. Na je angekuwa anauza unga? Hivi mnafikiri kati ya Mbowe mjasiriamali na Lissu ambaye pengine hajawaji kufanya biashara yoyote ni nani atakayekuwa rais wa kuivusha Tanzania kiuchumi?
 
Mbowe mmoja wa wamiliki wà madanguro makubwa wa mwanzo, eti leo ànaongoza nyumbu wanataka kuongoza JMT.
Kweli tuongozwe na mmiliki wa madanguro mstaafu?!
Akili yako ndogo:

Watanzania wengi akili zao ni mbovu sana. Viongozi wakubwa karibu wote hapa Tanzania ni watu ambao hata hawajawahi kufunga kuku au hata kuwa na kiosk. Hawa ndio tunawapa uwaziri wa fedha, kilimo au biashara. Tunategemea nini?!

Hivi kwa Mbowe kuwa na biashara yake kama alivyofanya ambayo ni halali na imemfanya kuwa tajiri ni jambo la kushangaza. Na je angekuwa anauza unga? Hivi mnafikiri kati ya Mbowe mjasiriamali na Lissu ambaye pengine hajawaji kufanya biashara yoyote ni nani atakayekuwa rais wa kuivusha Tanzania kiuchumi?
 
Akili yako ndogo:

Watanzania wengi akili zao ni mbovu sana. Viongozi wakubwa karibu wote hapa Tanzania ni watu ambao hata hawajawahi kufunga kuku au hata kuwa na kiosk. Hawa ndio tunawapa uwaziri wa fedha, kilimo au biashara. Tunategemea nini?!

Hivi kwa Mbowe kuwa na biashara yake kama alivyofanya ambayo ni halali na imemfanya kuwa tajiri ni jambo la kushangaza. Na je angekuwa anauza unga? Hivi mnafikiri kati ya Mbowe mjasiriamali na Lissu ambaye pengine hajawaji kufanya biashara yoyote ni nani atakayekuwa rais wa kuivusha Tanzania kiuchumi?
Sema ulikuwa hujazaliwa wakati Mbowe anamiliki danguro billicanas.
Kwani kufanya biashara yà madanguro ni halali?
 
Bilicanas ilikuwa danguro?
Sikuwahi kwenda Bilicanas.
Danguro ilikuwa Margot pale 100 meters from Bilicanas.
Halafu ( humour) Margot ilikuwa inamilikiwa na TISS
Habari hizi nimezipata from usually reliable sources.
 
Back
Top Bottom