Mtu mmoja kanitumia msg Whatsapp jana ananiambia alikuwa baunsa katika disco ya Mbowe

Mtu mmoja kanitumia msg Whatsapp jana ananiambia alikuwa baunsa katika disco ya Mbowe

Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
Nyumbani ikulu isee si mchezo kwani kwa kuwa baba yako ni baba wa taifa si wangewapa nyumba mulemule ndani pia ili vizazi vyenu visipotee kwa kutanga tanga maana mzee wenu amewaandikia historia isiyofutika isee mna bahati sana..

Angalau hata mngekuwa mnaishi humo humo tu.
 
Nilikuwa natembea kwa mguu wakati wa kurudi.
Nikifika Ikulu chumba changu room no. 3.
Kwa wale ambao hawajui system ya numbering kule Ikulu; room no. 1 ilikuwa ya mfalme; room no.2 ilikuwa ya Malkia.
Sasa mimi ndio crown prince, nilikuwa nakaa room no. 3.
 
Nilikuwa natembea kwa mguu wakati wa kurudi.
Nikifika Ikulu chumba changu room no. 3.
Kwa wale ambao hawajui system ya numbering kule Ikulu; room no. 1 ilikuwa ya mfalme; room no.2 ilikuwa ya Malkia.
Sasa mimi ndio crown prince, nilikuwa nakaa room no. 3.
Aiseee!!!
Waione Milembe
 
Nilikuwa natembea kwa mguu wakati wa kurudi.
Nikifika Ikulu chumba changu room no. 3.
Kwa wale ambao hawajui system ya numbering kule Ikulu; room no. 1 ilikuwa ya mfalme; room no.2 ilikuwa ya Malkia.
Sasa mimi ndio crown prince, nilikuwa nakaa room no. 3.
Nimecheka sana, I wish nipate fursa ya bia mbili tatu na wewe nikitoka hapo ni ku repair mbavu 😀
 
Ile disco ilikuwa inaitwa "Mbowe Disco" kabla ya kuitwa "Bilicanas".

Mimi sikwenda Bilicanas hata siku moja, lakini nilikuwa nakwenda sana Mbowe Disco.

Sasa huyu jamaa kanitumia msg kuniuliza kama bado nakumbuka, anasema alikuwa baunsa.

Zamani nilikuwa napenda kwenda Mbowe Disco. Nilikuwa naona Mbowe Disco kama vile ndio Heaven on Earth.

Na vijana wote wa siku zile watakubaliana na mimi. Nilikuwa naishi Ikulu wakati kwa hiyo nilikuwa nakwenda Mbowe Disco halafu baada ya disco narudi,natembes, whatever hour it is. Kwa sababu pale ilikuwa walking distance. Lile disco walikuwa wanafika vijana nadhani mostly wa Kariakoo.

Halafu Freeman nilimuona pale siku moja,alipokuwa katika harakati za kujenga Bilicanas. Nilikuwa na jamaa mmoja aliyekuwa anafahamiana naye, akaniambia,,"Unamuona huyu? Huyu ndiye owner wa hii disco."

Hiyo ndiyo mara ya kwanza nilipomuona Freeman na mara ya mwisho mpaka nilipomuona tena katika jukwaa la Chadema.

Sasa mimi pia nafuatilia huu Uchaguzi kati ya Mbowe na Lissu.

One thing that bothers me ni wale watu wanaosema tutapokea hela za huyu au yule, lakini hatulazimiki kumpigia kura mtu yeyote kwa ajili ya hela alizotupa,au hela alizotugea.

Sawa, lakini ninapotazama Dharma teachings na Karma teachings najiuliza kuhusu uhalali wa kula hela za mtu na kutokulipa fadhila.

Lakini labda there are many factors which people have to consider wanapopiga kura.
Kaka mkubwa shukurani kwa historia.

Kuchukua na kutoa rushwa yote ni makosa, hata kisheria tu, bila kufika kwenye karma, falsafa na maadili ya kidini.

Tatizo watu wanalazimisha mambo kwa njaa na tamaa tu.
 
Umesensa comment yangu.
Danguro lilikuwa pembeni pale linaendeshwa na TISS.
Pale palikuwa mahali pa drunken sailors.TISS. walikuwa wanafanya monitoring pale.

Kwa hiyo nilikuwa narudi toka Mbowe Disco usiku,walking in the starlight,nawaza ,siku moja mtu akiandika historia ya maisha yangu nadhani ataandika jinsi nilivyokuwa napenda Disco ya Mbowe.
 
Point Iko hapa

" Kula Hela ya mtu na usilipe fadhila"

Dent kula chips za Bure apewazo na boda boda Kisha akatae ombi,

Lema anakosea ktk hili, pia watoa RUSHWA wanakosea,

Big up big brain 🙏
 
Back
Top Bottom